Imechapishwa: May 9th, 2022
Imeandikwa na Nyeneu, P. R
Mhe. Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, leo tarehe 09 Mei 2022, amehudhuria hafla fupi ya makabidhia...
Imechapishwa: February 3rd, 2022
Na Nyeneu, P. R
OR-TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) imefanya ufuatiliaji ili kubaini namna utekelezaji wa mitaala unavyofanyika. Ufuatiliaji umeonye...
Imechapishwa: December 28th, 2021
Na Nyeneu, P. R
Halmashauri ya Mji wa Babati kupitia mradi namba 5441 – TCRP hadi sasa imepokea kiasi cha Tshs. 778,515,998.08 ambapo Tshs. 28,515,998 ni kwa ajili ya uhamasishaji wa chanjo na Tshs...