Imechapishwa: February 6th, 2018
Halmashauri ya Mji wa Babati imeagizwa kuanza mchakato wa kujenga Ofisi za Kata,Mitaa na Vijiji ili kuipunguzia Halmashauri gharama za uendeshaji wa ofisi.
Hayo yamesemwa jana (Jumatatu) 5/2/2018 n...
Imechapishwa: February 2nd, 2018
Halmshauri ya Mji wa Babati imepanga kutumia jumla shilingi bilioni Ishirini na tatu milioni mia nne thelathini na tano laki tatu thelathini na saba elfu mia tano arobaini na saba (Tshs 23,435,337,547...
Imechapishwa: January 31st, 2018
Halmashauri ya Mji wa Babati imemaliza zoezi la kupiga chapa ng’ombe wote wa asili kwa kata zote 8.Zoezi lililoanza mwezi Oktoba hadi Desemba 2017 baada ya kupata agizo la Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...