Imechapishwa: December 11th, 2020
Imeandikwa na Nyeneu, P. R - Mjini Babati
Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Mbunge kutoka jimbo la Babati Mjini Mheshimiwa Pauline Philipo Gekul, tarehe 11 Novemba 2020 amemshukuru sana Ra...
Imechapishwa: November 28th, 2020
Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Babati Bw Lazaro Jacob Twange leo tarehe 28 Mwezi Novemba 2020 amefungua Bonanza la Michezo kati ya watumishi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino na wenyeji watumishi...
Imechapishwa: October 1st, 2020
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF umeendesha zoezi la uhawilishaji wa ruzuku kwa kaya maskini. Zoezi hilo lililochukua muda wa siku mbili yaani tarehe 29 na 30 Septemba 2020 ikiwa ni malipo ya awamu...