• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Kibali cha Ujenzi

IDARA YA UJENZI

VIBALI VYA UJENZI

       1. KIBALI CHA UJENZI

Kilingana na sheria ya ujenzi wa majengo mijini si ruhusa kwa mtu yeyote kujenga au kuanza kujenga jengo bila ya:-

  • Kutuma maombi kwa mamlaka ya mji
  • Kuwasilisha michoro ya jengo na kumbukumbu husika
  • Kupata kibali kwa maandishi kinachoitwa kibali cha ujenzi


      2. KIBALI CHA AWALI (planning consent)

   Inashauriwa kupata kibali cha awali kabla ya kuomba kibali cha ujenzi. Hivyo muendelezaji anatakiwa aandae mchoro wa awali (outline plan)  kwa utaratibu unaotakiwa         ukionesha aina ya ujenzi.


      3. JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KIBALI CHA UJENZI

  • Baada ya michoro kukamilika iwasilishwe ikiwa kwenye majalada kwa namna ambayo inaweza kufunguliwa na kusomeka. Michoro hiyo iwasilishwe kwa utaratibu ufuatao:-
  • Seti tatu za michoro ya jengo (Architectural drawing)
  • Seti mbili za michoro ya vyuma (Structural drawings) kwa michoro ya ghorofa.


      4.  MICHORO ILIYOANDALIWA IONYESHE NINI

  • Michoro inayoandaliwa inatakiwa ionyeshe mambo yafuatayo:-
  • Namna jengo litakavyokuwa (plans sections, elevations, foundation and roof plan)
  • Namba na eneo la kiwanja kilipo
  • Jina la mmiliki Ardhi inayohusika
  • Jina la mchoraji, ujuzi na anwani
  • Ukubwa wa jengo kwa mita za mraba
  • Ujazo wa kiwanja ( plot coverage)
  • Uwiano (plot ratio)
  • Matumizi yanayokusudiwa
  • Idadi ya maegesho yatakayokuwepo
  • Umbali wa jengo kutoka kwenye mipaka ya kiwanja(Setback) 


      5. VIAMBATANISHO

  • Fomu za maombi zilizojazwa kwa usahihi
  • Hati ya umiliki kwa kiwanja au barua ya toleo
  • Kumbukumbu nyingine zinazohusu kiwanja hicho kma hati ya mauzo, makabidhiano nk.
  • Nakala za risiti ya kodi ya kiwanja ya sasa
  • Mabadiliko ya matumizi ya ardhi kama muombaji amebadili matumizi ya awali


      6.  HATUA ZINAZOFUATWA KATIKA KUSHUGHULIKIA MAOMBI YA KIBALI

  • Zifuatazo ni hatua zinazofuatwa wakati wa kuchunguza michoro hiyo:-
  • Uhakiki wa mmiliki
  • Kukaguliwa usanifu wa michoro
  • Kukaguliwa kiwanja kinachokusudiwa kuendelezwa
  • Uchunguzi wa matumizi ya jengo na uwiano
  • Uchunguzi wa maofisa wa afya
  • Uchunguzi wa mipango ya uondoaji maji taka

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Waziri Kairuki atoa angalizo utekelezaji mradi wa BOOST

    December 13, 2022
  • Mhe. Jenista Mhagama awasisitiza watendaji wa ofisi yake kuwa na kauli nzuri na kutoa huduma bora kwa wananchi na watumishi wanaowahudumia

    December 04, 2022
  • Maagizo ya DC Twange kwa Watumishi wa Umma na Wafanyabiashara kuhusiana na utoaji wa risiti za EFD

    December 02, 2022
  • Rais Samia azindua miradi miwili mikubwa iliyogharimu Mabilioni ya fedha Mjini Babati

    November 22, 2022
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati