• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Yafahamu mambo yafuatayo kuhusu Afya ya Kinywa na Meno

Imechapishwa: March 30th, 2021

Na Nyeneu, P. R

Katika miaka mitano iliyopita tafiti mbalimbali za Magonjwa ya Kinywa na Meno Mkoa wa Manyara zimeonyesha kuongezeka kwa asilimia Hamsini na Moja (51%) Walieleza madaktari Catherine Mganga kutoka kitengo cha Meno Hospitali ya wilaya ya Babati na Daktari Mahendeka Mratibu wa afya ya kinywa na Meno kutoka ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Manyara. Katika tafiti hizo, takwimu pia zinaonesha magonjwa yanayoongoza ni kutoboka kwa meno, Magonjwa ya Ufizi, na mengine ni mpangilio mbaya wa Meno, kuzidi kwa Madini ya floraidi (Floride) kwenye meno ambayo husababisha au hubadili rangi ya meno pia ni pamoja na ajali zinazohusisha maeneo ya kinywa na meno.

Meno yaliyoharibika kwa kubadilika rangi baada ya kuzidi madini ya Floride

Kwa kawaida matibabu ya magonjwa hayo hupatikana katika vituo vya kutolea huduma za kinywa na meno ambazo ni Hospitali zote za Halmashauri za Mkoa wa Manyara, Vituo vya Afya vya Magugu na Katesh na Kliniki za Kinywa na Meno za Eagle Polyclinic na Oasis Dental Clinic. Alisema Dkt. Mahendeka. Matibabu hayo ni pamoja na Kung'oa jino, Kuziba jino, kusafisha na kutoa ushauri wa Kinywa na Meno wa Jamii nzima.

Ung'oaji wa Jino kwa Mama Mjamzito ni salama kabisa na ni Muhimu iwapo Mjamzito anasumbuliwa na Jino (Meno)

Aidha Wataalamu hao waliongeza kuwa kumekuwa na nadharia potofu hususani matibabu ya meno hasa hasa kung'oa. Imani hizo zinatokana na mazoea mbalimbali katika jamii. Kitaalamu meno yoyote yanaweza kung'olewa wakati wowote. Baadhi ya Imani hizo potofu ni: -

  1. Mama Mjamzito hawezi kung'olewa jino
  2. Mtu hawezi kung'olewa jino akiwa amekula
  3. Jino la juu haling'olewi
  4. Kung'oa meno ni Asubuhi tu.
  5. Huwezi kung'olewa jino ukiwa umevimba
  6. Ganzi haishiki kwa Mnywaji wa Pombe.
  7. Dawa ya Jino ni Kung'oa
  8. Meno ya Plastiki
  9. Hairuhusiwi kung'oa jino zaidi ya mara moja kwa wakati mmoja.

na zingine nyingi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati