• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mwenendo wa Miradi ya UVIKO - 19 (TCRP) tarehe 25 Nov 2021

  • Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Babati Day. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plasta upo katika hatua ya mwisho hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Bagara. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari FT Sumaye. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plasta upo katika hatua ya mwisho hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Bonga. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Hangoni. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya ufungaji lenta ya juu na tayari upigaji plasta ulishaanza hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Kwaang'w. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plasta unaendelea hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Komoto. Mradi ukiwa katika maandalizi ya upauaji na tayari upigaji plasta unaendelea hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Mutuka. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plastaunaendelea hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Nakwa. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plasta unaendelea hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha adarasa katika shule ya sekondari Kwaraa. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari upigaji plasta unaendelea hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Sigino. Mradi ukiwa katika hatua ya mwisho ya upauaji na tayari uwekaji bati umeshaanza hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021

    Ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Nangara. Mradi umekamilika katika hatua ya upauaji na tayari upigaji plasta umekamilika hadi kufikia tarehe 25 Novemba 2021.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Babati imepokea Ugeni kutoka Wizara ya Afya Ofisi ya Rais Tamisemi na Wizara ya Elimu.

    June 02, 2025
  • Kuelekea Umitashumta Taifa.

    June 01, 2025
  • Kikao kazi cha maazimio ya mikakati ya kupunguza Ukatili wa kijinsia.

    May 29, 2025
  • Wakazi wa Halmashauri ya Mji Babati wanufaika na Gulio la Gendi.

    May 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati