• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Waandikishaji wapiga kura wamesisitizwa uaminifu na uadilifu.

Imechapishwa: October 7th, 2024

Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw.Bashan Kinyunyu kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi amefungua mafunzo kwa waandikishaji wapiga kura katika daftari la wapiga kura mkazi ambao watashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati.

Bw.Bashan amesisitiza uaminifu na kuzingatia maadili wameaminiwa kuteuliwa katika zoezi hilo hviyo wametakiwa kufanya kazi ya uandikishaji kwa weledi zaidi katika vituo vya kuandikisha wapiga kura wanaostahili kuandikishwa.

Aidha Mwezeshaji wa mafunzo hayo Bi Edna Moshi amesisitiza suala la utunzaji wa siri katika zoezi hilo na ameongeza kuwa muda wa kufungua vituo na kufunga umetakiwa kuzingatiwa sana wakati wa uandikishaji ili kuhakikisha hakutakuwa na wananchi yeyeote anayesahaulika au kuachwa katika zoezi hilo la uandikishaji.

Vilevile katika mafunzo hayo waandikishaji wapiga kura takribani 160 wamejifunza kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,mambo ya kuzingatia wakati wa uandikishaji,sifa za mgombea, sifa ya mpiga kura pamoja na nafasi za Uongozi zinazogombewa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia wametakiwa kuhakikisha mpiga kura anayeandikishwa awe na kitambulisho cha Urai,kupiga kura,leseni ya udereva au barua ya utambulisho kumtambulisha kuwa muhusika na wamekumbushwa kukabidhi daftari wakati wa siku za mwisho kwa msimamizi msaidizi wa Uchaguzi.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajia kufanyika tarehe 27/11/2024 katika Halmashauri ya Mji wa Babati kuna jumla ya Vituo 90 vya Uandikishaji wapiga kura na zoezi la uandikishaji litaanza tarehe 11/10/2024 hadi 20/11/2024.

Sambamba na hilo Waandikishaji wa daftari la wapiga kura wameapa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Bw.Jumaa Mwangome Mwambogo na amewasitiza kuwa waaminifu na kuwajibika katika zoezi hilo.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kikao kazi cha maazimio ya mikakati ya kupunguza Ukatili wa kijinsia.

    May 29, 2025
  • Wakazi wa Halmashauri ya Mji Babati wanufaika na Gulio la Gendi.

    May 28, 2025
  • Elimu ya Matumizi sahihi ya Dawa za Binadamu imetolewa kwa Watumishi wa Halmashauri ya Mji Babati.

    May 28, 2025
  • Baraza maalum la Hoja Halmashauri ya Mji wa Babati.

    May 27, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati