• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

SHULE YA SEKONDARI KOMOTO YAIBUKA KIDEDEA

Imechapishwa: May 8th, 2020

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara Eng. BASHIRU ROISINGISA leo Tarehe 08 Mei 2020 amekabidhi zawadi  mbalimbali kwa wanafunzi walioshinda mashindano ya kubuni Alama (Monument/Icon) itakayowekwa katikati ya Mzunguko (Roundabout) katika makutano ya Barabara kuu kwenda Singida, Dodoma na Arusha.

Katika kutekeleza mradi wa ujenzi wa mzunguko (Roundabout) mjini Babati makutano ya Barabara kuu kwenda singida, Dodoma na Arusha, Ofisi ya Meneja TANROADS Mkoa wa Manyara ilishirikisha uongozi wa Mkoa, Wilaya na Wadau mbalimbali na ikabuni njia ya kupata alama (Monument/Icon) muafaka itakayowakilisha mji wa Babati na Mkoa wa Manyara kwa ujumla ambayo itajengwa katikati ya mzunguko.

Njia iliyokubalika kupata alama hiyo ni kushindanisha wanafunzi kutoka shule 27 za sekondari ndani ya Wilaya ya Babati. Ambapo, mshindi wa kwanza (mwanafunzi atakayeibuka mshindi) atazawadiwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu (300,000/=) na Shule itakayotoa Mwanafunzi itazawadiwa Shilingi Laki Mbili (200,000/=).

Katika shindano hilo lililofanyika kuanzia Tarehe 06 Februari, 2020 na kumalizika tarehe 27 Februari, 2020, mwanafunzi Rosemary Mabula wa kidato cha kwanza kutoka shule ya Sekondari Komoto ameshika nafasi ya kwanza baada ya kuibuka mshindi na kupewa Hundi (cheque) yenye thamani ya Shilingi Laki  tatu na Shule kupewa hundi (cheque) yenye thamani ya shilingi Laki  mbili, zoezi hilo likishuhidiwa na Afisa Elimu Sekondari (Madam Paskalina) na Afisa Elimu Msingi Halmashauri ya Mji wa Babati.

Mwanafunzi Rosemary Mabula(Mshindi) akipokea hundi ya shilingi 300,000/=


Sambamba na hilo, Mkuu wa shule ya Sekondari ya Komoto Mr.Dennis Bakuza na Mwalimu wa Taaluma Mr.Isaya Peter walishukuru nakuahidi kuendelea kuibua vipaji mbalimbali,Afisa Elimu sekondari Halmashauri ya mji wa Babati Madam Paskalina ameishukuru TANROADS kwa kuandaa  mashindano hayo na kushauri kuwa kila panapotokea fursa kama hizo wazidi kushirikiana na pia amefurahi Halmashauri yake ya Mji kuibuka kidedea kati ya Halmashauri saba za mkoa wa Manyara na kuipongeza Shule ya sekondari ya Komoto kuongoza kimkoa.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati