• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumisha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

RC MAKONGORO APONGEZA MWENENDO MZURI WA MIRADI YA MADARASA

Imechapishwa: November 30th, 2021

Imeandikwa na Nyeneu, P. R

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Charles Makongoro Nyerere leo Novemba 30, 2021 amefanya ziara katika halmashauri mbili zilizopo katika Wilaya ya Babati. Ametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Babati na Halmashauri ya Mji wa Babati. Katika ziara hiyo, RC Makongoro amekagua na kufanya ufuatiliaji katika ujenzi wa madarasa kwa fedha za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO 19. Katika halmashauri ya mji wa Babati Mhe. RC ametembelea Shule ya sekondari Babati Day iliyoko kata ya Bagara ambayo inaendelea na ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa.

Vile vile ndani ya halmashauri ya Mji, mhe. RC ametembelea shule ya Sekondari ya Hangoni iliyopo kata ya Babati kukagua ujenzi wa Vyumba viwili vya madarasa ambapo ujenzi umefikia hatua ya kumalizia upauaji na upigaji plasta nje na ndani unaendelea pamoja na ufitishaji madirisha. Mradi wa mwisho kutembelewa ulikuwa ni ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Nangara iliyopo kata ya Nangara. Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa pongezi nyingi sana kwani ni mradi pekee ambao umefikia hatua za mwisho kabisa za umaliziaji. Kila kitu kimeshakamilika kwa asilimia kubwa ambapo maandalizi ya upakaji rangi yanaendelea.

Katika ziara hiyo, mhe. Mkuu wa Mkoa amesomewa changamoto ambazo watekelezaji mradi wamekumbana nazo. Moja ya changamoto ni kupanda kwa gharama ya vifaa vya ujenzi. Changamoto hii imeweza kutatuliwa kwa kununua vifaa kwa ujumla na kuvitunza ndani ya stoo, ili hata gharama ya vifaa ikipanda, bado vifaa vilivyopo stoo vitaendelea kutumika. Changamoto nyingine imetajwa kuwa ni kuchelewa kufika kwa saruji ambayo ilikuwa imeagizwa kutoka kiwandani. Changamoto hii imeshughulikiwa vizuri na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mji kupitia kitengo cha manunuzi.


Picha zote na Nyeneu, P. R

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 21, 2020
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Sekta ya Elimu Babati Mji yanufaika na NMB

    May 09, 2022
  • Maelekezo ya utekelezaji wa Mtaala - Kutoka Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia

    February 03, 2022
  • Mradi wa madarasa 18 uliogharimu Tshs. 379,267,500 wakabidhiwa

    December 28, 2021
  • RC MAKONGORO APONGEZA MWENENDO MZURI WA MIRADI YA MADARASA

    November 30, 2021
  • Tazama zaidi

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru 2022 Mkoani Manyara
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati