• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Ofisi ya Takwimu ya Taifa {NBS} imetoa mafunzo ya Usambazaji na Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Mkoa wa Manyara.

Imechapishwa: December 18th, 2023

Mafunzo ya Usambazaji na Matumizi ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 yamefanyika katika Halmashauri ya Mji wa Babati Ukumbi wa CCM Mkoa wa Manyara ambapo Mafunzo hayo yametolewa kwa Halmashauri zote mbili,Halmashauri ya Babati Vijijini na Halmashauri ya Babati Mjini ambapo mgeni Rasmi katika mafunzo hayo ni Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Lazaro Jacob Twange amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga katika ufunguzi wa Mafunzo hayo.

Mafunzo hayo yametolewa na Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) lengo ikiwa ni kuhamasisha matumizi ya matokeo ya Sensa katika Halmashauri hizo Serikali iko katika awamu ya tatu ya utoaji wa elimu na uchakataji wa ripoti za matokeo ya Sensa ambapo awamu iliyopo ni utoaji wa matokeo ya Sensa kwa makundi ya Viongozi na Wadau mbalimbali.

Katika utoaji wa taarifa fupi ya ufunguzi wa mafunzo hayo mtamkwimu wa Mkoa Bw. Gidion Mokiwa ameeleza kuwa matokeo ya Sensa ni tofauti na matokeo ya utafiti, matokeo ya Sensa hutoka kwa awamu sambamba na hilo mtakwimu huyo amewataka wadau wa maendeleo wanaohitaji matokeo kushirikiana na Ofisi ya Takwimu Mkoa ili kupata taarifa.

‘’Mipango bila takwimu ni suala gumu’’ Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Daniel Silo wakati akizugumza katika mafunzo hayo amesema kuwa mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi 2022 yatasaidia kujuwa mapungufu yaliyopo katika Wilaya hiyo.Pia amewataka washiriki kutoa maoni katika  dira ya Taifa 2050 kikamilifu ili kuleta ufanisi zaidi katika Wilaya.

Mkuu wa Wilaya ya Babati amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha vizuri zoezi la Sensa ya watu na makazi mwaka 2022 vilevile ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Manyara takribani shilingi Bilioni 600.

‘’Mafunzo haya yataenda kuongeza ufanisi ili mambo yote yafanyike ndani ya Wilaya kwa kufuata matumizi ya matokeo ya sensa’’ Mhe. Tangwe amesema hayo katika ufunguzi wa mafunzo hayo pia amewataka kamati za maendeleo za Kata na Wilaya kuzingatia matumizi ya matokeo ya Sensa vilevile ameahidi Wilaya kushirikiana kikamilifu na Ofisi ya Takwimu.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati