• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi. Pendo Mangali amesisitiza ukaguzi wa manunuzi katika Vituo vya kutolea Huduma za Afya.

Imechapishwa: May 24th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi.Pendo Mangali amefungua mafunzo ya njia bora ya uagizaji,utunzaji na ujazaji wa nyenzo za utunzaji kumbukumbu za bidhaa za Afya kwa Waganga Wafawidhi wa Halmashauri ya Mji wa Babati,Mafamasia wa Hospitali ya Mji, Vituo vya afya na Zahanati katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati.

Katika Mafunzo hayo mada mbalimbali zimetolewa ili washiriki waweze kuelewa na kufanyia kazi makubaliano ambayo yamefikiwa baada ya mafunzo ambapo mada ya Nyenzo za utunzaji wa kumbukumbu za bidhaa za afya, Miongozo mbalimbali ya Serikali kama vile[mwongozo wa matibabu,orodha ya bidhaa muhimu za afya,mwongozo wa kamati za tiba na dawa,mwongozo wa mshitiri na mwongozo wa matumizi ya fedha za bidha za afya],Mifumo ya uagizaji wa bidhaa za afya na uchakataji wa taarifa za matumizi ya bidhaa za afya na kufanya maamuzi kwa kutumia takwimu.

Vilevile Bi.Pendo Mangali amesisitiza juu ya ukaguzi wa manunuzi yanayofanyika katika Vituo vya kutolea huduma za Afya katika ngazi zote wakati wa ujio ya vifaa tiba na vitendea kazi vingine. Pia amewapongeza kwa kazi nzuri na amewataka  kuboresha zaidi huduma zinazotolewa katika Vituo vya kutolea huduma za Afya wananchi wanawategemea sana. 

  

Aidha washiriki wametakiwa kuwa makini katika kujifunza ili kuweza kuwasaidia katika utendaji wa majukumu ya kila siku katika vituo vya kazi na kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi wakati wote.

Pia Mganga Mfawidhi wa Bonga Dk.Dalabe kwa niaba ya Washiriki wote amemshukuru sana Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji Bi. Pendo Mangali kwa kujumuika nao pamoja katika mafunzo na amesisistiza kuwa ushauri wameupokea na wataufanyia kazi ili kuendelea kuboresha na kutoa huduma bora kwa wananchi wakati wote katika Vituo vya kazi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati