• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mkoa wa Manyara kuendelea kutoa Chanjo kwa mfumo Jumuishi (Integrated Vaccination Approach)

Imechapishwa: April 24th, 2023

Nyeneu, P. R - Mjini Babati

Katika kuhakikisha kuwa jamii inaelewa umuhimu wa chanjo hapa nchini, kila  mwaka Tanzania huungana na nchi nyingine Duniani kuadhimisha wiki ya Chanjo kila ifikapo wiki ya mwisho ya mwezi Aprili ambapo kitaifa maadhimisho haya yamefanyika leo tarehe 24 Aprili, 2023 Mjini Babati Mkoani Manyara. Wiki ya Chanjo Duniani ni wiki muhimu katika kuhamasisha Wananchi wote Ulimwenguni ili wawe na uelewa na umuhimu wa Chanjo na athari zinazotokana na kukosa Chanjo ambazo ni pamoja na ulemavu wa kudumu na vifo hususani kwa watoto chini ya miaka mitano. Hayo yemesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu ambaye amemwakilisha Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu (MB) ambapo kwa mwaka huu maadhimisho yana kauli mbiu isemayo "Tuwakinge wote  Kwa Chanjo” pia ikienda sambamba na ujumbe usemao “Jamii lliyopata Chanjo, Jamii Yenye Afya”.

Mganga Mkuu huyo ameendelea kusema kuwa Wizara ya Afya iliweka huduma ya Chanjo kuwa kipaumbele cha kwanza kati ya vipaumbele vyake kumi  kwa mwaka 2022/2023. Katika kufikia malengo ya kipaumbele hiki, Wizara imekuwa ikitekeleza mikakati mbalimbali ya huduma za afya ili kuhakikisha walengwa wote wanapata Chanjo. Dhumuni la Wizara ni kuendelea kuikinga jamii ya Watanzania dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa Chanjo ambayo ni Kifua kikuu, Donda Koo, Kifaduro, Polio, Surua, Rubella, Pepo punda, Homa ya ini, Homa ya uti wa mgongo, Kichomi, Kuhara na Saratani ya shingo ya kizazi. Sambamba na Chanjo hizi, Wizara pia inatoa Chanjo za UVIKO-19 kwa watu wote wenye umri kuanzia Miaka 18 na kuendelea.

Aidha, Katibu Tawala wa Mkoa Bi. Karoline Mthapula pamoja na wananchi wote wa Mkoa huo wameishukuru serikali kwa Mkoa wa Manyara kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa uzinduzi wa wiki ya Chanjo Kitaifa. “Mkoa ulipokea maelekezo kuhusu pendekezo la uzinduzi huu kufanyikia Kitaifa katika Mkoa wetu wa  Manyara na tuliridhia kwa kuamini maadhimisho haya yatakuwa na faida kwetu”  Alisema Katibu Tawala. Pia Bi. Karoline ameendelea kuwashukuru Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), JHPIEGO kupitia miradi ya Afya Yangu na MCGL, Clinton Health Access initiative (CHAI), Save the Children na pia kuwapongeza wananchi wote wa mkoa wa Manyara kwa namna wanavyoitikia na kutumia huduma za afya ikiwemo huduma za chanjo.

Aidha, Katika kuadhimisha Wiki hii ya Chanjo mkoa utaendelea kutoa Chanjo kwa mfumo jumuishi (integrated vaccination approach) ikijumuisha Chanjo zote katika vituo vya huduma kwa walengwa. Zoezi hili litaanza leo tarehe 24 Aprili hadi tarehe 30 Aprili katika Halmashauri zetu zote. Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa natoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Manyara wanaitumia vizuri wiki hii kwa kuwapeleka walengwa wote kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kupata chanjo.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati