• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Twange ameongoza wananchi wa Singu katika zoezi la usafi Mkoani Manyara.

Imechapishwa: October 30th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Lazaro Twange ameongoza zoezi la usafi katika Kijiji cha Singu Kata ya Sigino Halmashauri ya Mji wa Babati barabara ya kuelekea Singida, Viongozi mbalimbali ,wataalam na wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Babati wameshiriki katika zoezi la ufanyaji usafi  Mkoani Manyara.

Pia katika zoezi hilo Mhe.Twange amesisitiza juu ya ufanyaji wa usafi katika maeneo yetu tusisubiri tu hadi viongozi inapendeza mazingira yetu yakiwa safi. Na amesisitiza  pia juu ya upandaji miti katika maeneo ambayo yametengwa kwa ajili ya kupanda miti.Na amesema kuwa kuna sheria ndogo ya usafi itaanzishwa hivyo Viongozi wa ngazi ya chini wawe tayari kushirikiana ili sheria hiyo iweze kufanya kazi na Halmashauri ya Mji kuzidi kuwa safi zaidi.

Vilevile amempongeza Mwenyekiti wa Kijiji cha Singu na wananchi  kwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi hilo la usafi huo ni uzalendo kufanya usafi kwa umoja na kushirikiana na amesema kuwa watashughulika na wamiliki wa mabasi ili kuona namna watakavyowathibiti wasitupe taka barabarani.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi. Pendo Mangali amewapongeza wananchi na wataalam kushiriki katika zoezi hilo na amesema zoezi hilo ni kata kwa kata hadi kuhakikisha Halmashauri ya Mji inakuwa safi muda wote

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Wilaya ya Babati Bw. Matipula amesisitiza juu ya upimaji wa Afya Mkoani Manyara.

    December 01, 2023
  • Mhe.Sendiga amesuluhisha mgogoro wa Ardhi Dudumera Mkoani Manyara.

    November 29, 2023
  • Mhe.Queen Sendiga amefanya mkutano na Waandishi wa Habari katika Kampeni ya Tumewasikia,Tumewafikia Mkoani Manyara.

    November 22, 2023
  • Mhe. Sendiga amefanya ziara katika Kata ya Bonga Mkoani Manyara.

    November 21, 2023
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati