• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Ndumbaro ametembelea eneo ambalo litajengwa Kituo cha Michezo Mkoani Manyara.

Imechapishwa: August 30th, 2024

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Damas Daniel Ndumbaro ametembelea katika eneo ambalo limetengwa kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Michezo katika umahiri wa Riadha Kanda ya kaskazini Mkoani Manyara.

Katika ziara hiyo ameambatana na timu kutoka katika Baraza la Michezo Tanzania,Mhe Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini Pauline Gekul,Kaimu Katibu Tawala Bw.Dominic Mbwette,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mhe.Abdurahman H.Kololi,Kaimu Mkurugenzi Bw.Simon Mumbee pamoja na Viongozi mbalimbali.

Mhe.Ndumbaro amesema kuwa katika Kituo hicho cha michezo kutakuwa na viwanja vya michezo yote mpira wa miguu,mpira wa pete na mpira wa mikono.Na ameongeza kuwa Vituo hivyo vitajengwa katika Kanda zote ili kuweza kuwapa wachezaji ,muda zaidi ya kujiandaa katika mashindano ya michezo kwa kukaa katika makambi ambapo katika Vituo hivyo kutakuwa na hosteli.

Aidha amesema kuwa kwa sasa Michezo ni ajira na uchumi hivyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk.Samia Suluhu Hassan ameliona hilo na ametoa maagizo juu ya utekelezaji wa ujenzi wa Vituo vya Michezo kwa Kanda zote na ujenzi wa Kituo hicho kwa Kanda ya Kaskazini utaanzaa katika mwaka huu wa fedha.Vilevile Mhe.Ndumbalo amekagua mipaka ya uwanja na ameridhishwa na eneo la ujenzi wa Kituo hicho.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Neema Msitha amesema,ujenzi huo utaanza kutekelezwa katika Mwaka huu wa fedha 2024/2025 ambapo tayari fedha imeshatengwa na mchakato wa kumpata mshauri elekezi umefikia hatua za mwisho.

Sambamba na hilo Mhe.Ndumbalo na Timu yote wametembelea Uwanja wa Tanzanite Kwaraa amepongeza kwa ujenzi mzuri na wa kisasa wa uwanja huo ametaka kuufanyia marekebisho ili Timu kubwa ziendelee kutumia uwanja katika mechi kubwa.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kilele Cha wiki ya Mazingira. yenye kauli mbiu" Mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa kudhibiti matumizi ya Plastiki".

    June 05, 2025
  • Mama lishe na Baba lishe wa soko kuu la Halmashauri ya Mji Babati wahimizwa kufanya usafi .

    June 05, 2025
  • Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wapewa mafunzo ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi.

    June 03, 2025
  • Kumalizika kwa kambi ya kuunda timu ya Mkoa ,itakayoshiriki UMITAMSHUTA Taifa.

    June 02, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati