• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Kololi amesisitiza uwabikaji wa Viongozi katika Halmashauri ya Mji wa Babati.

Imechapishwa: May 15th, 2024

Halmashauri ya Mji wa Babati limefanya Baraza la Madiwani robo ya tatu katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati likiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mhe.Abdulrahman H. Kololi.Pia Baraza hilo limehudhuriwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati,Katibu Tawala Wilaya,Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi [CCM],Waheshimiwa Madiwani,Watendaji pamoja na Wataalamu.

Mhe. Kololi amewapongeza Watendaji na Wataalamu kwa ujumla kwa juhudi zao za kuweka Mji katika hali ya Usafi hadi kufanikiwa kushika nafasi ya pili katika mashindano ya usafi na utunzaji wa mazingira katika Halmashauri ya Mji wa Babati.Mhe. Kololi amesisitiza kuweka mkazo katika sheria ndogondogo ili Halmashauri kuendelea kuwa safi muda wote.

KatibuTawala Wilaya ya Babati Bw.Halfan Mtapula amesema kuwa kila Diwani katika Kata yake kuhakikisha anatoa taarifa ya upatikanaji wa chakula kwa kila Shule katika Kata.Vilevile amesisitiza fedha za mkopo wa asilimia 10 kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wamefanya marejesho ili kuwezesha vikundi vingine kupata mkopo.Na ameongeza kuwa usimamizi wa miradi uongezeke ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa wakati.

Aidha Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi [CCM] Wilaya ya Babati Bi. Elizabeth Malley amepongeza suala la ukusanyaji wa mapato upo vizuri na katika usimamizi wa miradi yote ya maendeleo ipo katika viwango vizuri sana.Vilevile amesisitiza iendelee kusimamiwa kwa ukaribu ili ikamilike kwa wakati na amewataka Viongozi kuhakikisha miradi viporo pia inakamilishwa.

Pia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi.Pendo Mangali amesema kuwa Halmashauri ya Mji wa Babati imepata hati safi katika matumizi ya fedha mwaka 2023/2024.Vilevile ameongeza kuwa matokeo ya darasa la saba na kidato cha nne Halmashauri ya Mji imepata vyeti vya pongezi kwa ufaulu mzuri zaidi wa wanafunzi wa Shule za Msingi na Shule za Sekondari 2023.Pia amesisitiza kuanza kwa maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwezi wa 10.

Sambamba na hilo Mhe. Kololi amesisitiza kila kiongozi kutimiza majukumu yake ya kazi na amewataka Madiwani kuhakikisha kila Shule katika Kata Wanafunzi wamepata chakula.Pia ameongeza kuwa Shule za Sekondari kwa kidato cha 5 na 6 ziongezeke ili wanafunzi wasipate changamoto ya kutembea umbali mrefu.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati