• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Kololi amepongeza Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri ya Mji Babati.

Imechapishwa: May 9th, 2025

Mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Babati umefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ambapo Baraza hilo limeudhuriwa na Madiwani,Wataalam,Watendaji wa Kata,Watumishi,Wananchi pamoja na Viongozi wa Chama na Serikali.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Babati amepongeza juu ya ongezeko la ukusanyaji wa mapato katika Robo hii ya tatu na kuwataka Wataalam kuongeza nguvu zaidi katika suala la mapato ambalo ni muhimili katika uendeshaji wa shughuli mbalimbali za Halmashauri ikiwemo kuchangia miradi ya Maendeleo.

Mhe.Kololi katika Baraza hilo amesisitiza Waheshimiwa Madiwani kuwahamasisha Wananchi kupeleka chakula Shuleni ili Wanafunzi wapate chakula na kuendelea vizuri na masomo yao bila kuwa na changamoto yoyote shuleni.

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Abdurahman amemwagiza Mkurugenzi kuhakikisha madeni yote ya nyumba walizopanga Watendaji yalipwe pamoja na viporo vyote vya miradi vikamilike kwa wakati katika Kata zote 8.

Vilevile Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Babati Bi. Elizabeth Malley amesisitiza uwajibikaji na kuwahimiza Wananchi kujitokeza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 2025.

Sambamba na hilo Afisa Uchaguzi Jimbo la Babati Mjini Bw.Bashan Kinyunyu amesisitiza Wananchi kujitokeza kwa wingi katika kuhakiki majina katika Daftari la wazi kwa waliojiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza katika Vituo vya walivyojiandikisha na kwa wale ambao hawajajiandikisha kujitokeza kujiandikisha kwa Awamu ya pili kuanzia tarehe 16 hadi 22 /05/2025 katika Vitu vilivyopo karibu na makazi yao.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kuelekea uboreshaji Daftari la kudumu la Wapiga Kura awamu ya Pili.

    May 12, 2025
  • Mhe.Kololi amepongeza Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri ya Mji Babati.

    May 09, 2025
  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati