• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe. Sendiga amefanya ziara katika Kata ya Bonga Mkoani Manyara.

Imechapishwa: November 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga  amefanya ziara ya kutembelea Kata ya Bonga Halmashauri ya Mji wa Babati kusikiliza kero za wananchi katika ziara hiyo ameambatana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini Mhe. Pauline Gekul, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Babati Mhe.Abdulrahman H.Kololi,Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Bw. Simon Mumbee mkutano huo umefanyika katika Stendi ndogo ya Bonga.

Katika ziara hiyo amewataka Watendaji kuwa tambua watu wanaojitolea kataka Jamii ili kuleta chachu zaidi ya mabadiliko katika jamii na maendeleo ya Kata kukuwa na kuleta pia ushirikiano baina ya wanaojitolea pamoja na Watendaji wa Serikali kwa ujumla.

Pia ameongeza kuwa katika kusikiliza kero za wananchi ameambatana na Wakuu wa Taasisi na Wataalam ili kurahisisha utatuzi wa kero hizo na ni jambo jema kutatua kero ili jamii yetu ishi kwa Amani na kuendelea na majukumu ya kila siku pasipo na changamoto yoyote.

Vilevile ameaahidi kushughulikia migogoro ya ardhi kwa mtu yeyote atakayebainika ni chanzo cha huo mgogoro hata kama akiwa ni mtumishi wa Serikali au Wanakijiji kwa namna moja ama nyingne.Na amewasisitiza Watendaji kutenga muda wa kuwasikiliza Wazee ili kujua changamoto wanazopitia ili kuzitatu na sio kusubiri Mikutano ya hadhara.

Aidha Mhe.Sendiga ametoa zawadi ya gitaa lenye thamani ya Shilingi 400,000/=kwa mwimbaji wa mziki kutoka katika Kata ya Bonga.Pia amewataka Watendaji kutoa Elimu kuhusu TASAF ili wananchi kupata uelewa wa juu ya mnufaika kwa kushirikiana na wadau wanaoshughulikia TASAF.

Pia Mhe.Pauline Gekul amesema kuwa utafanyika uboreshaji wa Kituo cha Polisi Bonga,uchongaji wa Barabara na Ujenzi wa Soko utaanza ili kuboresha lililokuwepo na kurahisisha biashara kufanyika katika mazingira safi na salama. Na ameaahidi kushughulikia mgao wa Umeme katika Kata hiyo.

Sambamba na hilo ametembelea Ujenzi wa Ofisi ya Machinga, Ukumbi pamoja na matundu 3 ya vyoo ambapo amemtaka Kiongozi wa Machinga ifako tarehe 29/12/2023 kukabidhi Jengo na mnamo tarehe 29/01/2024 Jengo lizinduliwe na kutumika kwa wafanyabiashara

.


Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati