• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

MHE. KOLOLI AMESISITIZA LISHE NA USAFI WA MAZINGIRA SHULENI

Imechapishwa: August 10th, 2023

Baraza la Madiwani likiongozwa na Mhe.Abdulrahman H. Kololi Mwenyekiti  wa Halmashauri  ya Mji wa Babati  limekutana leo katika ukumbi  wa Mji wa Babati kujadili mihutasari ya kamati mbalimbali ya robo ya nne ya mwaka 2022/2023.

Mhe. Kololi amesisitiza sana kuhusu lishe,usafi  wa mazingira  na sehemu za kunywa maji  shuleni ni muhimu kuwepo kwa  kila shule za msingi na sekondari  ili kulinda afya za wanafunzi ,walimu na watumishi wengine.  

Aidha Mhe. Rose Muryang  Diwani wa Viti Maalumu Kata ya Singe  ameipongeza Serikali ya awamu ya sita  kwa  kuwezesha  upatikanaji  wa mawasiliano  katika baadhi  ya maeneo  kwenye kata hiyo kwani mawasiliano  yana umuhimu. Vilevile  Baraza limempongeza Mtaalamu  wa Mazingira kuwa usafi ndani ya Halmashauri yetu unazingatiwa na taka zinakusanywa kwa wakati na mwitikio wa wananchi ni mzuri na hakuna taka mitaani.

Vilevile Baraza limetaka  kufahamu idadi kamili ya wanufaika wa TASAF ili kusaidia kujua Halmashauri ina watu wangapi wanawake kwa wanaume wanaonufaika pamoja na changamoto wanazopata wakati wakipatiwa huduma hiyo katika maeneo mbalimbali.

Pia  Baraza hilo limejadili kuhusu kutengeneza vizimba kwa ajili ya samaki wanaokuwa wametoka kuvuliwa ili kuhakikisha afya kwa watumiaji  wa samaki hao na utaratibu wa kukusanya ushuru kwa wavuvi  uendelee.

Mhe. Kololi  Mwenyekiti wa Halmashauri  Mji wa Babati amewapongeza wataalamu wa afya, watendaji wa kata, wataalamu wa maendeleo ya jami, na waratibu wa elimu kata kwa kazi nzuri wanazofanya na kuwasisitiza kuendelea na majukumu hayo kwa weledi zaidi.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Mhe.Queen Sendiga amefanya kikao na madereva wa bodaboda,bajaji.machinga na mama lishe Mkoani Manyara.

    September 20, 2023
  • Mhe.Queen Sendiga ameweka jiwe la msingi katika shule ya mpya ya Awali na Msingi

    September 15, 2023
  • Mhe. Joyce Ndalichako amekagua maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Mkoani Manyara.

    August 28, 2023
  • Bi.Pendo Mangali amezindua ( PJT-MMMAM) ngazi ya Halmashauri ya Mji wa Babati

    August 22, 2023
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati