• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mfumo wa Kugawa Mapato ya 10% ya Halmashauri kwa Makundi Maalum

Imechapishwa: November 13th, 2022

Na  Nyeneu, P. R

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imeanza rasmi kutumia mfumo wa kieletroniki wa kutoa mikopo ya asilimia 10 inayotokana na makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu. Halmashauri ya Mji wa Babati, imetenga fedha shilingi 155,741,173.70 ikiwa ni asilimia kumi (10%) kutoka kwenye makusanyo ya mapato ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye Ulemavu.

Ili kuweza kuomba mikopo hii, waombaji wanatakiwa wawe na sifa zifuatazo; Kwanza kwa Vijana Wajasiriamali wawe na umri wa miaka 18 hadi 35, Wanawake wajasiriamali wawe na umri miaka 18 na kuendelea. Watu wenye ulemavu Wajasiriamali wa na umri kunzia miaka 18 na kuendelea. Waombaji wa mikopo wawe wakazi wa Halmashauri husika ambapo kwa Babati Mjini, wawe ni wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Waombaji wote wa mikopo wanapaswa kuwa raia wa Tanzania, pia wawe wamejiunga katika vikundi vya watu 5 - 30. Kwa muombaji mjasiriamali mwenye ulemavu asiye kwenye kikundi atapaswa awe na leseni ya biashara na hati ya utambulusho kutoka halmashauri ya Mji wa Babati. Watu wenye ulemavu wasio na leseni watajiunga kuanzia watatu na kujisajili kupitia mfumo na kupata hati ya utambulisho.

Aidha, vikundi vyote vinapaswa kuomba mkopo kwa kupitia mfumo wa maombi ya Mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kutumia kiunganishi https://mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz, huu ni mfumo rasmi ambao umetengenezwa na kuratibiwa na OR – TAMISEMI. Pia waombaji wote wa mikopo wafike kwa Afisa Maendeleo ngazi ya Kata kwa maelezo zaidi.

Viambatisho vinavyohitajika

  • Barua ya Maombi ya Mkopo
  • Nakala ya katiba
  • Andiko la Mradi/Mpango wa Biashara
  • Nakala za vitambulisho vya taifa
  • Barua za wadhamini na picha za vikundi
  • Picha za passport size.
  • Hati ya Usajili

Faida za Mfumo

  • Matumizi ya mfumo huu utatusaidia sana kuongeza uwazi wa uombaji, utoaji na urejeshaji wa mikopo hiyo.
  • Mfumo utasaidia kuongeza uwajibikaji, usawa na uadilifu katika kutoa huduma ya mikopo kwa vikundi husika na kusaidia kuwa na takwimu sahihi na kurahisisha utoaji wa mikopo kwa wakati

Aidha, Wananchi wote wa Halmashauri ya mji wa Babati wanahimizwa kutumia fursa hii ya mikopo ili kujikwamua kiuchumi kwa kutuma maombi yao ndani ya muda wa siku 14 kuanzia tarehe 09/11/2022 na mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 16/11/2022 saa tisa na nusu alasiri (9:30).

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu

    March 18, 2023
  • Waziri Kairuki atoa angalizo utekelezaji mradi wa BOOST

    December 13, 2022
  • Mhe. Jenista Mhagama awasisitiza watendaji wa ofisi yake kuwa na kauli nzuri na kutoa huduma bora kwa wananchi na watumishi wanaowahudumia

    December 04, 2022
  • Maagizo ya DC Twange kwa Watumishi wa Umma na Wafanyabiashara kuhusiana na utoaji wa risiti za EFD

    December 02, 2022
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati