• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 Halmashauri ya Mji wa Babati

Imechapishwa: July 16th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Babati Bi.Anna Mbogo amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw.Shaaban A. Mpendu ambapo, Mwenge wa Uhuru umekimbizwa kwa kilomita  220.8 umezindua,umeweka mawe ya msingi na kutembelea miradi 8 yenye jumla ya shilingi Bilioni 4.92.

Katika mradi wa wanafunzi wenye mahitaji maalum Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bw.Godfrey Eliakimu Mnzava amepongeza Walimu kwa kuendelea kuwatunza na kuwalea watoto hao na kuwapa elimu ya stadi za maisha kwa kuwafundisha kutunga shanga za urembo,kulima bustani ya mboga pamoja na stadi za maisha ya nyumbani ili ziweze kuwasaidia katika maisha yao ya kila siku.Pia ametoa wito kwa wazazi kutowafungia watoto wenye mahitaji maalum amewametaka kuwapeleka Shule ili kuweza kupata elimu kwani hakuna jambo linaloshindikana katika dunia ya sasa.

Aidha amesisitiza juu ya suala la kufanya manunuzi kwa kutumia Mfumo wa Kieletroniki wa Manunuzi ya Umma [Nest] na kuacha kufanya manunuzi katika  miradi kwa kutumia njia ambayo Serikali imekataa ili kuweza kukamilisha miradi kwa ustadi na ufasaha kwa kuacha njia kutangaza zabuni katika mbao za matangazo kwa miradi yote.

Katika Banda la Ukatili wa kijinsia amewataka kitengo hicho kuendelea kufuatila matukio yote kwa ukaribu huku wakishirikiana na wananchi ii kuweza kupunguza na kutokemeza kabisa ukatili wa kijinsia na wananchi kwa ujumla kuacha tabia ya kumalizana wenyewe.

Vilevile Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru amsisitiza wananchi kuendelea kutunza mazingira kwa kuendelea kupanda miti katika mazingira yao ili kufanya mazingira kuwa mazuri na kutunza vyanzo vya maji kwa ujumla. Na kwenda sambamba na kuali mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024 “ Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu”.

Sambamba na hilo Kiongozi wa Mbio za Mwenge ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kugombania nafasi za uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa wale wenye sifa,kujiandikisha kwenye daftari la kudumu ili waweze kupiga kura kwa kumchagua kiongozi ambaye anafaa kuwaongoza kwa kushiriki katika mikutano ya kampeni itakapoanza.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Muendelezo wa Ziara ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati Kata kwa Kata katika Halmashauri.

    June 23, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Babati imetembelewa na Maafisa kutoka Skuli ya Bububu Zanzibar

    June 23, 2025
  • Mafunzo yametolewa kwa wanufaika wa mikopo Awamu ya Tatu katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Babati.

    June 21, 2025
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati amefanya ziara katika Kata ya Bonga.

    June 20, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati