• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mafunzo Maalum ya Mtaala ulioboreshwa yametolewa kwa Walimu wa Shule za Msingi za Serikali na zisizo za Serikali Halmashauri ya Mji wa Babati.

Imechapishwa: January 10th, 2024

Wizara ya Elimu Sayansi naTeknolojia kupitia Taasisi ya Elimu ya Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati imetoa mafunzo kwa Walimu wa Shule ya Awali na Msingi zilizopo katika Kata zote 8 Halmashauri ya Mji wa Babati.

Mafunzo maalum kwa Walimu wa Shule za Msingi kuhusu Mtaala ulioboreshwa yamefanyika katika Vituo 3 vinavyojumuisha Kata zote 8 zilizopo Halmashauri ya Mji Babati.Ambapo Vituo hivyo ni Shule ya Sekondari Aldersgate,Shule ya Sekondari Kwaraa pamoja na Kituo cha Walimu Managha.

Wakufunzi katika Mafunzo hayo ni Maafisa Elimu Msingi Halmashauri ya Mji wa Babati,Mthibiti Mkuu wa Ubora wa Shule Halmashauri ya Mji Bi.Elizabeth Isaya Tarmo,Wathibiti Ubora wa Shule na Maafisa Elimu Kata zote 8 pamoja na Walimu wa Awali waliopata mafunzo ngazi ya Taifa.

Mafunzo hayo yanalengo ya kuwafikia Walimu takribani 628 kwa Shule za Msingi za Serikali na zisizo za Serikali.Miongoni mwa mada zinazotelewa ni sababu za mabadiliko katika Mtaala wa Elimu Muundo mpya wa Elimu,Matumizi ya Tehama,Maandalizi ya nyaraka za ujifunzaji na ufundishaji,Maandalizi ya zana za ujifunzaji na ufundishwaji,Upimaji na Tathmini pamoja na Ushauri na Unasihi.

Mkuu wa Divisheni ya Elimu Msingi Halmashauri ya Mji wa Babati Bw. Simon Mumbee amewapongeza Walimu kwa kazi zuri wanazofanya katika kuwafundisha Wanafunzi na kupata matokeo mazuri amewataka kuendelea kufundisha kwa weledi zaidi na ili kuongeza ufaulu kwa Wanafunzi wa madarasa yote ya Shule ya Msingi pamoja na kushiriki kikamilifu katika mafunzo hayo yanayoendelea kutolewa na Wakufunzi ili wakayatumie vizuri.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati