• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

KILELE CHA MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI

Imechapishwa: August 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Cuthbert Sendiga amewaongoza wananchi wa Arusha, Manyara na Kilimanjaro kwenye kilele cha maadhimisho ya nanenane yaliyofanyika kanda ya kaskazini Themi-Njiro jijini Arusha.

Mhe. Queen Sendiga akiwa mgeni rasmi wa tukio hilo kubwa ametembelea baadhi ya mabanda ya maonyesho pamoja na kuhutubia Umma uliojitokeza amewataka kutumia fursa iliyopo katika kilimo ili kukabiliana na mabadililko ya tabia ya nchi.

Pia Mkuu wa Mkoa wa Manyara ametoa rai kwa Wataalamu na Maafisa wa kilimo kuyafikia makundi ya wanawake, vijana na wananchi kwa ujumla ili kuwaongezea elimu na ufanisi katika shughuli za kilimo na ufugaji ili kujipatia tija.

Mhe. Mkuu wa Mkoa ameridhishwa na maandalizi yaliyofanywa na halmashauri hizo pamoja na elimu inayoendelea kutolewa na wananchi katika sekta ya kilimo,uvuvi na ufugaji.

Vilevile kanda ya kaskazini Halmashauri ya Mji wa Babati imepata mshindi katika sekta ya kilimo na ufugaji Bw. John Laizer na katika mabanda  Halmashauri imeshika nafasi ya pili ambapo ni mifugo na kilimo.

Aidha amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umwagiliaji kwenye ukanda wa Mikoa ya kaskazini yenye thamani ya Bilioni 47.64. Vilevile ameeleza mpango wa Serikali katika ujenzi wa visima 150 kwa kila Halmashauri ili kuleta mapinduzi katika Sekta ya Umwagiliaji.

Pia Mhe. Queen Sendiga ameongeza siku mbili zaidi kwa maonyesho hayo kuendelea katika viwanja hivyo baada ya kuridhishwa na maonyesho kwa wakulima, wananchi na wanafunzi waliyojitokeza kujifunza kupitia maonyesho hayo. Amewataka wataalamu na maafisa wasichoke kutoa elimu katika maonyesho hayo.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Mhe.Queen Sendiga amefanya kikao na madereva wa bodaboda,bajaji.machinga na mama lishe Mkoani Manyara.

    September 20, 2023
  • Mhe.Queen Sendiga ameweka jiwe la msingi katika shule ya mpya ya Awali na Msingi

    September 15, 2023
  • Mhe. Joyce Ndalichako amekagua maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Mkoani Manyara.

    August 28, 2023
  • Bi.Pendo Mangali amezindua ( PJT-MMMAM) ngazi ya Halmashauri ya Mji wa Babati

    August 22, 2023
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati