• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Katibu Tawala Mkoa wa Manyara amefanya kikao Maalum na Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Mji wa Babati.

Imechapishwa: November 10th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bi. Karoline Mthapula amefanya kikao Maalum cha Mafunzo ya Maadili kwa Utumishi wa Umma Halmashauri ya Mji wa Babati ambapo kimeudhuriwa na Katibu Tawala Msaidizi Rasilimali Watu Bw.Dominic Mbwette,Katibu Tawala Wilaya,Bw.Simon Mumbee kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati ,Viongozi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara pamoja na Watumishi wote katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati.

Bi. Karoline amesisitiza maadili mazuri kwa Mtumishi wa Umma muda wote anapokuwa kazini na nje ya kituo cha kazi na kutoa huduma bora kwa wateja pamoja na kuzingatia suala la mavazi. Maadili mazuri huchochea utoaji wa huduma bora zaidi.

Pia Bw.Dominic Mbwette ambaye amewataka Watumishi wa Umma kutii sheria bila shuruti na kuwa mfano kwa wananchi wengine kwa kufuata Sheria, Taratibu na Miongozo yote ambayo Mtumishi wa Umma ametakiwa kufuata kwa ujumla. Pamoja na hilo amesisitiza kufanya kazi kwa bidii na weledi mkubwa zaidi.

Aidha Bw. Mbwette ameongeza kuwa Mtumishi wa Umma ametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kutunza siri za Serikali kwa kuzingatia Miongozo na Sheria.Pia kutumia barua pepe za SerikaIi kwa matumizi ya Kiofisi tu na sio vinginevyo na kusisitiza kuwa Mtumishi ametakiwa kutotumia mitandao ya Kijamii wakati wa kazi.

Vilevile Bw. Mbwette amewataka Watumishi wa Umma kutumia Mifumo ya Kieletroniki ambayo Serikali imeleta ili kupunguza matumizi ya majalada na kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji wa kazi kiujumla ndani ya Halmashauri zote Nchini na amesisitiza  matumizi ya Mfumo wa e mrejesho ambao unatoa fursa kwa Mtumishi wa Umma pamoja na wananchi kutoa maoni,mapendekezo,malalamiko na pongezi.

Sambamba na hilo Bi.Karoline Mthapula ameongeza kuwa miradi ya maendeleo imetakiwa kusimamiwa kwa umakini, kusikiliza kero za wananchi ni muhimu sana pamoja na kuzitatua zile zilizopo ndani ya ngazi ya Halmashauri,kuendelea kupinga ukatili wa Kijinsia na amesisitiza sana juu ya ubunifu wa vyanzo vingine vingi vya mapato ambavyo vitaongezea mapato na kufanya Halmashauri kuzidi kujiimalisha katika ukusanyaji wa mapato.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kilele Cha wiki ya Mazingira. yenye kauli mbiu" Mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa kudhibiti matumizi ya Plastiki".

    June 05, 2025
  • Mama lishe na Baba lishe wa soko kuu la Halmashauri ya Mji Babati wahimizwa kufanya usafi .

    June 05, 2025
  • Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wapewa mafunzo ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi.

    June 03, 2025
  • Kumalizika kwa kambi ya kuunda timu ya Mkoa ,itakayoshiriki UMITAMSHUTA Taifa.

    June 02, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati