• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Kampuni ya Carbon Tanzania imekabidhi mfano hundi ya Billioni 4.7 ya uuzaji wa Hewa ukaa Mkoani Manyara.

Imechapishwa: November 14th, 2023

Kampuni ya Carbon Tanzania imewakabidhi mfano wa hundi ya Billioni 4.7 ikiwa ni malipo ya uuzaji wa hewa ya ukaa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mhe. Sulemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga pamoja na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini Mhe. Pauline Gekul katika Ukumbi wa WhiteRose Mkoani Manyara kwa Utunzaji wa Mazingira.

Mhe.Jafo ameipongeza Kampuni ya Carbon kwa kufanya biashara ya hewa ya ukaa imesaidia katika suala zima la utunzaji wa mazingira na ni fursa kubwa ambayo imewawezesha kupata mapato nje ya vyanzo vingine.Na amesema kuwa Wizara imekuja na miongozo na kanuni za biashara ya hewa ya ukaa katika Taifa letu, kupitia  fedha hewa ya ukaa imesaidia katika Ujenzi wa miundombinu mbalimbali.

Aidha ameongeza kuwa takribani makampuni 53 yameanza kufanya biashara ya hewa ya ukaa.Vilevile ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuwa wawazi katika biashara hususani suala la mapato hiyo ni hatua nzuri katika ukuaji wa kibiashara kwa ujumla.Mhe.Jafo amewataka wananchi kutunza misitu, misitu ni mali inapaswa kulindwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga ameishukuru Kampuni ya Carbon Tanzania kwa hundi ambayo imewapatia na kwa kazi nzuri ya utunzaji wa mazingira,wananchi wamepata Elimu juu ya faida ya utunzaji wa misitu. Na ameongeza kuwa takribani wananchi 64,000/=wamenufaika na mradi huo wa hewa ya ukaa. Baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kiteto na Wilaya ya Mbulu wameanza kunufaika na mradi wa hewa ya ukaa tangu mwaka 2017.

Mkurugenzi wa Carbon Tanzania Bw.Alphan Jackson amesema kuwa kutunza vyanzo vya maji, kulinda misitu ni jukumu la kila mmoja wetu kulinda na hii imesaidia sana katika biashara ya hewa ya ukaa. Ameishukuru Serikali kwa kuweka mfumo rahisi na wezeshi katika shughuli za biashara ya hewa ya ukaa.

Sambamba na hilo ametembelea Ziwa Babati na kuona na namna Vijana wanavyosafisha Ziwa kwa kuondoa magugu ameahidi kufuatilia ili kuapata njia nzuri zaidi ya kuondoa magugu hayo ndani ya Ziwa na kulete muonekano mzuri wa Ziwa kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kilele Cha wiki ya Mazingira. yenye kauli mbiu" Mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa kudhibiti matumizi ya Plastiki".

    June 05, 2025
  • Mama lishe na Baba lishe wa soko kuu la Halmashauri ya Mji Babati wahimizwa kufanya usafi .

    June 05, 2025
  • Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wapewa mafunzo ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi.

    June 03, 2025
  • Kumalizika kwa kambi ya kuunda timu ya Mkoa ,itakayoshiriki UMITAMSHUTA Taifa.

    June 02, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati