• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

HALMASHAURI YA MJI BABATI WAMALIZA ZOEZI LA KUPIGA CHAPA NG'OMBE

Imechapishwa: January 31st, 2018

Halmashauri ya Mji wa Babati imemaliza zoezi la kupiga chapa ng’ombe wote wa asili kwa kata zote 8.Zoezi lililoanza mwezi Oktoba hadi Desemba 2017 baada ya kupata agizo la Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitolewa mwezi Desemba 2016 .

 

Katika zoezi hilo, Halmashauri ilikuwa na lengo la kupiga chapa ng’ombe 21,619 ambapo baada ya zoezi la upigaji, jumla ya ng’ombe 27,110 walipigwa chapa ambayo ni sawa na asilimia 125.4 ya lengo walipigwa chapa.

Akiongea na Mwandishi wa habari hii Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Mji wa Babati BI. Rena Urio alisema Zoezi la kupiga chapa  ng’ombe wa asili limekamilika na sasa wanasubiri maelekezo ya upigaji wa chapa kwa ng’ombe wa kisasa.

Zoezi hilo limechelewa kuanza mapema kutokana na kutakiwa kupitishwa kwenye vikao mbali mbali vya Halmashauri ambavyo vipo kisheria.

Aidha Baraza la madiwani kwa pamoja liliridhia gharama ya Tsh. 500 kwa kila ng’ombe atakayepigwa chapa kama ilivyotolewa kwenye maelekezo ya pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipokutana na wataalam wa mifugo nchi nzima Mjini Dodoma.

Pia  Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ilitoa namba za utambulisho wa chapa kitaifa na ngazi ya Halmashauri ambapo Halmashauri ya Mji wa Babati ilipewa namba T – BAT. T – inawakilisha Tanzania na BAT – inawakilisha Babati Town. Hata hivyo baada ya utambulisho huo Halmashauri ilipewa mamlaka ya kutoa namba kwa kila kijiji.

  • FAIDA NA HASARA YA UPIGAJI CHAPA

Faida ya zoezi hili ni kama ifuatavyo:-

  1. Kujua idadi ya mifugo iliyopo kwenye eneo husika ili kuona kama eneo linatosheleza kufuga idadi ya mifugo iliyopo.
  2. Kudhibiti wizi wa mifugo.
  3. Kuzuia migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji
  4. Zoezi hili linaenda sambamba na sensa ya mifugo yote kwenye kata kwani kuna vitabu maalum vya kusajili mifugo
  5. Zoezi hili pia litasaidia katika kupanga maendeleo ya mifugo kama mpango wa chanjo, uanzishwaji wa viwanda vya bidhaa za mifugo n.k. 

 

Hasara za kutokupiga chapa

Kutokufanya zoezi hili ni kupinga agizo la Mh. Makamu wa Rais hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa.

 Baada ya upigaji chapa hakuna ng’ombe yeyote atakaye uzwa au kununuliwa ndani na nje ya Halmashauri bila kuwa na namba ya usajili.

Ng’ombe atakayekamatwa bila chapa atatambuliwa kuwa ni wa wizi.

  •  
  •  

                      IDADI YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA KILA KATA .

NA
KATA
LENGO NG’OMBE
HALI HALISI NG’OMBE
ASILIMIA(%)
1
BABATI
1050

1086

103.4

2
BAGARA
3750

4245

113.2

3
BONGA
2215

2428

109.6

4
MAISAKA
3627

5422

149.5

5
MUTUKA
3027

5257

173.7

6
NANGARA
1660

1665

100.3

7
SIGINO
4620

5037

109.0

8
SINGE
1670

1970

118.0

 
JUMLA KUU
21619

27110

125.4


Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati