• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Bi.Pendo Mangali amezindua ( PJT-MMMAM) ngazi ya Halmashauri ya Mji wa Babati

Imechapishwa: August 22nd, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi. Pendo Mangali amezindua Programu  Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto( PJT-MMMAM)ngazi ya Halmashauri katika Ukumbi wa Mji.Ambapo uzinduzi huo ulihudhuriwa na Madiwani,Wakuu wa idara,Watumishi wa Halmashauri waandishi wa habari na shirika la COSITA.

Bi Pendo Mangali ameshukuru kwa (PJT-MMMAM) kuzinduliwa ndani ya Halmashauri na amewataka watumishi wote kuhudhuria ili kupata elimu juu ya malezi ya watoto ambao umri wao ni kuanzia mwaka 0-8 kwa mujibu wa program hii. Ili tukawe mabalozi kwa wananchi wengine kwa kuwapa elimu juu ya utekelezaji wa (MMMAM) katika jamii zetu.

Pia Bi. Khadija Muwango Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa amesema kuwa watoto ili wakue vizuri kimwili,kiakili,kihisia,kimaadili, afya na lishe lazima yawe sawa.Na wazazi ni wajibu kulisimamia hilo kwa namna moja au nyingine katika jamii ili tupate kizazi chenye maadili kwa miaka ijayo.

Aidha ameongeza kuwa ulinzi na usalama wa mtoto ni jukumu la kila mzazi kuhakikisha hilo linatokea na kuacha kuficha vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa Watoto kwa kuripoti matukio hayo itasaidia kutokomeza kwa hatua kali zitakazochukuliwa dhidi ya watakaobainika kuwa na hatia ya kufanya vitendo hivyo. 


 Vilevile amesema Afya bora, Ulinzi na Usalama,Elimu ya Awali,Lishe bora na Malezi yenye uwitikio ni muongozo wa ukuaji timilifu wa mtoto hivyo wazazi wanatakiwa kuzifuata na kuzitekeleza kwa maslahi mapana ya ukuaji mzuri kwa mtoto. 

Bw. Agustino Balohho Afisa mradi wa “Mtoto Kwanza” Shirika la COSITA  amesisitiza kuwa wazazi wametakiwa kujenga ubongo wa mtoto tangu akiwa mtoto na anapofikisha umri wa miaka 6 anakuwa na asilimia 100 ya ubongo wa mtu mzima,mtoto anajifunza na kujenga ushirikiano wakati anapokuwa anacheza na unaweza kutambua kipaji cha mtoto wakati huo.

Pia ameongeza kuwa Watoto wametakiwa kupata lishe na mazingira wezeshi ya kujifunza kwa kuwajengea madarasa yanayozungumza ili kuwasaidia kujifunza kwa wepesi na haraka zaidi pamoja na kuwawezesha walezi wa Watoto katika shule za awali.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Muendelezo wa Ziara ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati Kata kwa Kata katika Halmashauri.

    June 23, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Babati imetembelewa na Maafisa kutoka Skuli ya Bububu Zanzibar

    June 23, 2025
  • Mafunzo yametolewa kwa wanufaika wa mikopo Awamu ya Tatu katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Babati.

    June 21, 2025
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati amefanya ziara katika Kata ya Bonga.

    June 20, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati