• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Baraza la Madiwani limepitishwa Mpango wa Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Babati ya Mwaka 2024/2025.

Imechapishwa: February 13th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mhe. Abdulrahman H. Kololi ameliongoza Baraza la Madiwani katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati ambapo Baraza hilo limeudhuriwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi.Pendo Mangali,Madiwani wa Kata zote,Wataalam,Viongozi wa Taasisi,Katibu wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji pamoja na waalikwa wengine.

Katika Baraza hilo la Madiwani limepitisha mapendekezo ya mpango wa Bajeti ya Mwaka 2024/2025 ambapo Jumla ya Shilingi 29,329,213,000.16 imepitishwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za kawaida na maendeleo kwa kipindi cha Julai hadi Juni 2024/2025.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi.Pendo Mangali amesema kuwa Bajeti hiyo imefuata mwongozo wa Serikali wa uandaaji mpango wa Bajeti umezingatia vipaumbele vya Halmashauri pamoja na vya Nchi kwa ujumla.Ameongeza kuwa Halmashauri ya Mji wa Babati itakamilisha miradi ambayo imepangwa na bajeti hiyo pamoja na kuitetea katika ngazi ya Mkoa na hatimaye Bungeni.

Aidha Ndugu Mohamed Cholage amewapongeza Wataalam,Madiwani pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati kwa kazi nzuri ya uandaaji wa mpango wa Bajeti wa Mwaka 2024/2025 katika Halmashauri pamoja na kuzingatia vipaumbele na amesisitiza juu ya utekelezaji wa Bajeti hiyo kupanga ni kitu kingine nautekelezaji ni jambo lengine hivyo amehimiza utekelezaji wa Mpango huo wa Bajeti.

Pia Mhe.Kololi ametoa shukrani za dhati kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za miradi zinazoletwa katika Halmashauri ya Mji wa Babati kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Kata zote 8 zilizopo ndani ya Halmashauri ya Mji amesisitiza kuwa miradi yote itakamilika kwa wakati.

Sambamba na hilo Bi.Pendo Mangali amesema kuwa bajeti hiyo ambayo imepitishwa itatekelezwa kwa vitendo na umakini mkubwa mno pamoja na kukamilisha miradi yote ambayo ni vipaumbele kwa kila Kata na miradi mingine yote ambayo ipo ndani ya Halmashauri ya Mji wa Babati kwa ujumla.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati