• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Queen Sendiga amesistiza Kilimo,Uvuvi na Ufugaji wa kisasa na wenye tija katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane

Imechapishwa: August 9th, 2024

Katika Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima nanenane Kanda ya Kaskazini Viwanja vya Themi Njiro Jijini Arusha Mgeni rasmi MKuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga amesisitiza Ufugaji,Kilimo pamoja na Uvuvi wa kisasa katika jamii ili kuweza kupata tija.

Pia amempongeza sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha vitendea kazi vya kisasa na wawekezaji ambavyo vimeleta matokea chanja kwa shughuli za Kilimo,Ufugaji na Uvuvi pamoja na kuandaliwa vyema kwa mafunzo kwa Maafisa Ugani ili wawaze kutoa elimu kwa wananchi na kuleta mabadiliko.

Aidha Mhe.Sendiga amesema kuwa elimu ambayo imetolewa katika maonesho hayo na washiriki mbalimbali wananchi wametakiwa kuitumia ili kupata maendeleo katika uchumi na kuwa na kilimo chenye tija pamoja na shughuli nyinginezo katika jamii hii itasaidia pia kukabiliana na changamoto ya utapiamlo katika jamii hivyo mfugaji,mkulima na mvuvi kuhakikisha shughuli zako zinaenda kisasa.

Vilevile ameongeza kuwa Ufugaji wa kisasa utasaidia kupunguza migogoro ambapo kwa sasa idadi ya watu imeongezeka na mifugo hivyo ikitumika njia ya kisasa katika ufugaji inatumia eneo ndogo na migororo itapungua kati ya wakulima na wafugaji.

Mhe.Sendiga amewataka Viongozi washughulikie 20% kwenye ushuru wa mazazo na mgawanyo wa 15%kwenye Mifugo na 5%kwenye Uvuvi umezingatiwa ili kuendeela kupata maboresho na kutumia vitendea kazi vya kisasa.

Sambamba na hilo Mhe.Queen amesema kuwa zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa katika daftari la kudumu limeendelea kwa baadhi ya Mikoa hivyo amewasisitiza wananchi wenye umri husika kujitokeza kwa wingi pindi zoezi hilo litakapoanza na ameongeza kuwa wanawake wajitokeze kwa wingi katika kuwania nafasi za Uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mara tu muda wa kuchukua fomu ukitangazwa.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati