• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Manyara Tanzanite International Marathon 2022 yaanza vizuri Mjini Babati.

Imechapishwa: August 14th, 2022

Na Nyeneu, P. R

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati mjini Mhe. Paulina Gekul, Jumamosi ya Agosti 13, 2022 ameongoza zaidi ya wakimbiaji 100 kushiriki Mbio za Manyara International Marathon 2022 zilizofanyika Mjini Babati katika viwanja vya Kwaraa.

Mbio hizo zilizohusisha wadau mbalimbali zimeandaliwa na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Paulina Gekul na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji ya Bonite ambao wametoa fulana kwa wahiriki na fulana za mazoezi kwa washindi wote.

Mhe. Mbunge alishiriki mbio za Kilomita 5 na kuwaongoza viongozi kadhaa, akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Lazaro Twange, Katibu Tawala Wilaya ya Babati Ndg. Khalfan Matipula, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mhe. Abdulrahman Kololi, Mkurugenzi wa Mji wa Babati Bi. Anna Fisoo, viongozi wengine wengi kutoka katika taasisi mbalimbali za serikali.

Vile vile Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Manyara wamejitokeza katika uzinduzi wa Mbio hizo na kushiriki mbio za Mita 100, Kilomita 10 na pia Kilomita 21 na washindi wakapewa zawadi mbalimbali zikiwemo fedha taslimu kwa mshindi wa kwanza, wa pili na watatu na fulana za mazoezi.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Mamilioni ya fedha za BOOST kuboresha Sekta ya Elimu Msingi na Awali Babati Mji.

    May 09, 2023
  • RCCE yajengewa uwezo wa kufikisha elimu ya Afya kwa Umma

    April 28, 2023
  • Miaka 59 ya Muungano Umoja na Mshikamano ndio Nguzo ya Kukuza Uchumi Wetu

    April 26, 2023
  • Halmashauri zahimizwa kuendelea kupanda miti ili kufikia lengo la Mwaka la Mkoa

    April 25, 2023
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati