• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Mji wa Babati imefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo.

Imechapishwa: November 6th, 2023

Kamati ya Fedha na Uongozi imetembelea miradi ya maendeleo katika sekta ya Elimu na Afya kwa Kata zote nane ndani ya Halmashauri ya Mji wa Babati ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Mhe. Abdulrahman H. Kololi, Madiwani ,Wajumbe wa Kamati pamoja na Wataalam Mkoani Manyara.

Lengo la kamati hiyo ni kukagua na kutembelea miradi ambayo imekamilika na inatumika pamoja na ile ambayo ujenzi unaendelea na kupata taarifa kamili za miradi husika na namna fedha za mapato ya ndani na Serikali kuu zimetumika kwa umakini na ufasaha katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024 katika miradi  yote ya maendeleo.

Kamati imetembelea madarasa mawili na Ofisi katika Shule ya Msingi Ayabadney ambapo mradi umekamilika na wanafunzi wanendelea kutumia vyumba hivyo vya madarasa changamoto ni matundu ya vyoo vya Walimu,Kamati imemtaka Afisa Mtendaji kuwasilisha changamoto hiyo katika kamati ya maendeleo ya Kata{WDC}.

Vilevile Kamati imetembelea nyumba ya Walimu Shule ya Sekondari Pauline Gekul, Ujenzi bado unaendelea na umefikia hatua ya umaliziaji na Kamati ya Fedha na Uongozi imewataka kamati ya Ujenzi kuhakikisha malipo ya fundi yanafanyika kwa uharaka ili mradi uweze kukamilika kwa wakati.

Sambamba na hilo kamati imetembelea mradi wa Ujenzi wa Darasa moja Shule ya Msingi Gendi mradi umekamilika,Nyumba wa Walimu Shule ya Msingi Bambay mradi upo hatua ya umaliziaji,Madarasa mawili Shule ya Msingi Ziwani ujenzi umekamilka,Ujenzi wa madarasa mawili ya mfano na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Hangoni mradi umekamilika,Ukamilishaji wa Zahanati Chemchem pamoja na kichomea taka pamoja na Ujenzi wa darasa moja Shule ya Msingi Chemchem.

Mhe.Kololi amesema kuwa kwa miradi ambayo haijakamilika kwa wakati amewataka Viongozi kuendelea kuwa bega kwa bega na fundi ili mradi ukamilike na kuweza kutumika mara moja. Kamati imetoa ushauri na maoni kwa miradi ambayo ina changamoto.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati