• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Wadau mbalimbali wametoa maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Mwaka 2050 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Babati

Imechapishwa: July 29th, 2024

Halmashauri ya Mji wa Babati imefanya kikao cha wadau ngazi ya Wilaya tarehe 29/07/2024 kuhusu utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo  [TDV 2025] na utoaji wa maoni juu ya Dira ya mwaka 2050. Kikao hicho kimeongozwa na Mhe. Lazaro J. Twange Mkuu wa Wilaya ya Babati ambacho kimehudhuriwa na Viongozi wa Chama na Serikali, Wawakilishi wa makundi mbalimbali ya wananchi na Wakuu wa Idara na Vitengo katika Ukumbi wa Mikutano Halmashauri ya Mji wa Babati.

Katika kikao hicho wadau wametoa maoni yao kuhusu Dira inayoisha mwaka 2025 na kuishukuru Serikali kwa kutekeleza Dira hii katika nyanja tofauti za maendeleo na wametoa maoni juu ya Dira ya mwaka 2050 kulingana na shughuli za kiuchumi na kijamii katika maeneo yao.

Pia Bi.Suzana Mushi mwakilishi makundi maalum ametoa maoni juu ya Ulinzi na Usalama,Virahisishi kazi na vikinga afya, Sanaa, Siasa, Miundombinu, Elimu, Uchumi, Ajira, Utamaduni na Michezo, Kundi lenye ulemavu wa afya ya akili kuwa maeneo haya yote yapewe kipaumbele katika Dira ya mwaka 2050 kwa watu wenye mahitaji maalum.

Vilevile Mwenyekiti wa kikao hicho Mhe. Twange ametoa maoni ya Dira ya Taifa ya mwaka 2050 kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uwe na chanzo maalum cha mapato kitakacho wezesha Mfuko kujitegemea na kujiendesha wenyewe michango ya wanachama pekee haitoshelezi.

Aidha Mhe. Twange ameongeza kuwa Dira ya Taifa ya mwaka 2050 izingatie ongezeko la watu katika utoaji wa huduma za kijamii hususani Maji kwa kila eneo kwa kuzingatia matokeo ya Sensa ya watu na makazi kila baada ya miaka 10.

Sambamba na hilo Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Babati Bw. Florence Kundy amewashukuru Viongozi wa Serikali na Chama na Wadau wote kwa kushiriki katika kikao hicho na ameongeza kuwa wanachi waendelee kushiriki kutoa maoni kwa kutembelea Tovuti ya www.slido.com na kisha ingiza namba 1874613 au Toa maoni yako kupitia simu ya mkononi kwa kubonyeza (*152*00# >Chagua namba 8- ELIMU >Chagua Namba 4 – Dira 2050) kisha toa maoni yako.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati