• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Ujumbe wa Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa Wilaya ya Babati

Imechapishwa: August 30th, 2022

Na Nyeneu, P. R

Mkuu wa Wilaya ya Babati ambaye pia ndo Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa ya watu na Makazi Wilayani humo Mhe. Lazaro Jacob John Twange amewapongeza Wananchi wote wa Wilaya ya Babati kwa muitikio mkubwa katika zoezi zima la Sensa, Makarani wa Sensa kwa kupita Kaya kwa Kaya, Waratibu wa Sensa na Watumishi wote ambao kwa pamoja wameweza kulifikisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kufikia hatua hii nzuri tangu lilipoanza tarehe 23 Agosti 2022.

Vilevile DC Twange amesema baada ya kumaliza zoezi la Sensa ya watu siku ya jana tarehe 29 Agosti 2022, kutakuwa na Siku tatu (03) zingine kwaajili ya kuendelea na zoezi la Sensa ya Majengo kuanzia leo tarehe 30 Agosti 2022 hadi tarehe 01 Septemba 2022.

“Naomba nitoe wito kwa Wananchi wenzangu wote wa Wilaya ya Babati kama tulivyotoa ushirikiano katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililofanyika kati ya tarehe 23 hadi tarehe 29 Agosti 2022, tuendelee kutoa ushirikiano kwenye zoezi la Sensa ya Majengo linaloendelea kuanzia leo mpaka tarehe 01 Septemba 2022”. Alisisitiza Mhe. DC

Aidha Mhe. Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kama itathibitika kuwepo mtu ambaye kwa bahati mbaya hakuhesabiwa wakati wa zoezi la kuhesabu watu, anaombwa ajitokeze kutumia fursa hii kutoa taarifa kwenye Ofisi ya Kitongoji au Ofisi ya Kijiji, Ofisi ya Mtaa, Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri husika au atoe taarifa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya aweze kuhesabiwa ili kutimiza haki yake ya kizalendo ya kuhesabiwa.

Sambamba na yote hayo, kwa mtu ambaye atapata changamoto yoyote afanye mawasiliano yafuatayo ili aweze kupata msaada bila shida yoyote. Kama ni mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati piga simu kwa mratibu wa Sensa namba 0784 768 008 na kama ni mkazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati piga simu kwa Mratibu wa Sensa namba 0688 105 591. Kama bado utakuwa hujapata msaada tuma ujumbe kwa Mwenyekiti wa Sensa Wilaya ambayo ni 0772 906 333. Ikumbukwe kuwa zoezi la Sensa linasimamiwa kutoka katika ngazi ya Kitongoji, Kijiji, Mtaa, Kata, Tarafa mpaka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

“Zoezi la Sensa Wilaya ya Babati limefanikiwa vizuri na nawashukuru sana Wananchi wa Wilaya ya Babati, Makarani na Wasimamizi wote wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi, mpaka hivi ninavyozungumza Wilaya ya Babati hatuna tukio lolote la kupotea kwa kifaa chochote maalumu kwaajili ya zoezi la Sensa na tunaahidi hatutoweza kupoteza kifaa chochote cha Matumizi katika zoezi la Sensa kwa sababu ni vifaa adhimu na tuna wajibu wa kuvilinda”. Alimalizia Mhe. Mkuu wa Wilaya.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Waziri Kairuki atoa angalizo utekelezaji mradi wa BOOST

    December 13, 2022
  • Mhe. Jenista Mhagama awasisitiza watendaji wa ofisi yake kuwa na kauli nzuri na kutoa huduma bora kwa wananchi na watumishi wanaowahudumia

    December 04, 2022
  • Maagizo ya DC Twange kwa Watumishi wa Umma na Wafanyabiashara kuhusiana na utoaji wa risiti za EFD

    December 02, 2022
  • Rais Samia azindua miradi miwili mikubwa iliyogharimu Mabilioni ya fedha Mjini Babati

    November 22, 2022
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati