• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

RC Joseph J Mkirikiti Asema na Wananchi wa Babati Mji.

Imechapishwa: August 24th, 2020

Imeandikwa na Nyeneu, P. R

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joseph Joseph Mkirikiti amewataka wananchi wa Babati mji kuachana na fikira za kuwa Babati yetu ni ile ile haiendelei. Akaongeza na kusema Babati lazima iendelee. Ameyasema hayo alipokutana na wananchi wa Babati Mji katika viwanja vya Motel Papaa wakati akieleza moja kati ya maombi ya wananchi wa Babati mji kutaka stendi ya mabasi iliyoko maeneo ya katanini kata ya Maisaka kurudishwa Mjini.

"Kuna mambo mengi yanaweza kufanyika kuliko kufikiria miaka ya sitini, miaka ya sabini..kwamba Babati yetu ni ile ile haitaendelea. Babati lazima iendelee". Alisisitiza Mkuu wa Mkoa.

Aidha Mhe. Mkirikiti amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw. Fortunatus Fwema kwa wazo la kuboresha uwanja wa Mpira wa Miguu almaarufu kama Uwanja wa Kwaraa uliopo katikati ya Mji wa Babati kwa kujenga vibanda vya biashara kuzunguka eneo hilo. Amewataka wananchi wajijengee desturi ya kutumia fursa nyingi zaidi ndani ya mji wao ili kujiletea maendeleo. Wakati akiongelea fursa ndani ya mji wa Babati, Mhe. RC ameongelea mashindano ya ngumi kitaifa yatakayofanyika ndani ya Mji wa Babati kuwa ni fursa kubwa sana kwa Wafanyabiashara kwa maana ya Maduka, Hoteli, n.k, Wasafirishaji kwa maana ya Bajaj, Magari, Boda boda, n.k, pia ni fursa kwa Mama Lishe. 

"Haiwezekani watu wote tukalime, wapo watakao kwenda kulima, watakao kwenda viwandani na pia wapo watakao kwenda michezoni". Aliongezea RC

Pia, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi wote wa Babati Mji kulisaidia Jeshi la Polisi katika jitihada zao za kuhakikisha Babati bila madawa ya kulevya, Manyara bila madawa ya kulevya inawezekana. Mhe Mkirikiti amempongeza RPC Manyara Bw. Paulo Kasabago kwa kuanza oparesheni ya kupambana na madawa ya kulevya, na amemuagiza RPC kuwa oparesheni hiyo iwe ni ya kudumu. 

"Sasa wavuta bangi wa Babati wakatafute kazi nyingine, na wauza bangi wa Babati wakatafute kazi nyingine". Aliendelea kusisitiza Mkirikiti.

Jambo la mwisho mhe. mkuu wa Mkoa amewakumbusha wananchi wa Babati mji kwamba wajiandae na uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais, ili kuendelea kudumisha amani ya Babati na Mkoa kwa ujumla. Serikali itawajibika kuhakikisha kila mmoja (mwananchi) anashiriki uchaguzi katika hali ya utulivu ndani ya Majimbo, ndani ya Wilaya na pia ndani ya Mkoa. 

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati