• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

"Pongezi Uongozi na kamati ya ujenzi Shule ya Msingi Kwaangw' kwa usimamizi mzuri wa Mradi"

Imechapishwa: November 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Kaganda pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama wamepongeza Uongozi na Kamati ya Ujenzi Shule ya Msingi Kwaangw' kwa usimamizi mzuri wa Fedha za ukarabati wa miundombinu pamoja na utendaji kazi wa mafundi .

Ukarabati wa miundombinu ya Shule umegharimu Shilingi Milioni 201 ambazo zinatumika kukarabati madarasa 7,Ofisi za Walimu 2, vyoo matundu13 na madarasa 10 ambayo yanafanyiwa ukarabati.

Akisoma taarifa ya Mradi Mwalimu Mkuu Bw. Iddi Maj ameeleza kuwa wamejipanga vizuri kusimamia Fedha pia wamefanya Bajeti mradi utakapokamilika.

Mhe. Kaganda ameutaka Uongozi Shuleni hapo kuongeza idadi ya Mafundi ili kukamilisha mradi kwa muda uliokusudiwa.

Aidha ametoa wito kwa Wataalam maeneo mengine kuiga mfano kwa Shule ya Kwaangw' katika usimamizi wa Miradi ya maendeleo.

Pia amesisitiza Utunzaji wa miundombinu hiyo pamoja na kuongeza Ulinzi na usalama wa Vifaa ili kukamilisha zoezi la uboreshaji Shuleni hapo.

Mradi wa Ukarabati wa miundombinu Shule ya Kwaangw' upo Hatua ya upigaji lipu na kuweka madirisha.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • "Pongezi Uongozi na kamati ya ujenzi Shule ya Msingi Kwaangw' kwa usimamizi mzuri wa Mradi"

    November 21, 2025
  • Mhe.Emmanuela ametembelea miradi ya maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati

    November 21, 2025
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati amesisitiza upatikanaji wa chakua shuleni

    November 19, 2025
  • CPA.Mpendu ameagiza Wataaam wa Ardhi kusimamia maeneo ya Halmashauri.

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati