• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Mji wa Babati C.P.A Shaaban Mpendu amefungua rasmi mafunzo ya wasimamizi wa vituo vya kupigia Kura.

Imechapishwa: November 24th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Mji wa Babati CPA.Shaaban A.Mpendu amefungua rasmi mafunzo kwa Wasimamizi wa Vituo vya kupigia kura katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Babati day ambapo mafunzo hayo yameudhuriwa na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi,Afisa Uchaguzi pamoja na Wasimamizi wa Vituo vya Kupiga kura.

Wasimamizi wa Vituo vya Kupiga kura wamepewa mafunzo kuhusu dhana ya uchaguzi,kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na namna ya kusimamia mchakato wa zoezi la upigaji kura wanapokuwa katika Vituo vya kupigia kura takribani Wasimamizi wa Vituo vya kupiga kura 220 wamepatiwa mafunzo hayo.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati CPA. Shaaban Mpendu amesisitiza kuwa Uchaguzi umetakiwa kuwa wa huru na haki kwa kufuata maelekezo ya Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi katika Vituo na kuzingatia mafunzo hayo.

Aidha CPA. Mpendu amesisitiza usiri,uadilifu katika kusimamia zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na matumizi ya lugha inayofaa wakati wa zoezi hilo ambalo linatarajiwa kufanyika mnamo Tarehe 27/11/2024 na Halmashauri ya Mji wa Babati ina jumla ya Vituo 103 na amesisitiza muda wa kufunguliwa Vituo kuzingatiwa kuanzia Saa 2:00 Asubuhi vituo vinatakiwa kufunguliwa na Saa 10:00 Jioni kufungwa.

Aidha ameongeza kuwa Wasimamizi wa Vituo vya Uchaguzi wametakiwa kusimamia zoezi kwa kuzingatia Sheria,Kanuni na utaratibu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa amewatoa hofu kuwa ulinzi umeimarishwa wakati wote wa zoezi.

Pia Mkufunzi wa mafunzo hayo Bi.Edna Moshi ambaye ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesisitiza umakini,uaminifu na uadilifu katika zoezi la Uchaguzi ili wananchi waweze kupata Viongozi kwa haki na kwaajili ya maendeleo ya wananchi wa eneo husika.

Sambamba na hilo Wasimamizi wa Vituo vya kupiga kura wametoa kiapo cha utii mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Bw.Jumaa.M.Mwambago na wamesisitizwa kuzingatia Sheria,Taratibu na Kanuni za Uchaguzi.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Babati imepokea Ugeni kutoka Wizara ya Afya Ofisi ya Rais Tamisemi na Wizara ya Elimu.

    June 02, 2025
  • Kuelekea Umitashumta Taifa.

    June 01, 2025
  • Kikao kazi cha maazimio ya mikakati ya kupunguza Ukatili wa kijinsia.

    May 29, 2025
  • Wakazi wa Halmashauri ya Mji Babati wanufaika na Gulio la Gendi.

    May 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati