• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati amegawa mipira 40 kwa kila Shule ya Msingi Maisaka,Babati na Kwaang'w katika Halmashauri ya Mji wa Babati.

Imechapishwa: April 8th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi Pendo Mangali amegawa mipira ya miguu kwa Shule ambazo zipo katika mradi wa Football For Schools [F4S] kwa awamu ya kwanza Shule za Msingi takribani tatu zimepata mipira 40 kwa kila Shule.Katika zoezi hilo Mkurugenzi wa Halmashauri ameongozana na Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Bw.Simon Mumbee pamoja na Afisa Michezo,Utamaduni na Sanaa Bw.Jumaa Kifula katika Shule ya Msingi Babati,Maisaka na Kwaang’w katika Halmashauri ya Mji wa Babati.

Afisa Michezo,Utamaduni na Sanaa amesema kuwa Program ya Football for School [F4S] imeanza kwa Shule za Msingi ili kuibua vipaji kwa vijana wadogo wa kike na kiume na kurahisisha ufundishaji wa michezo kwa vitendo Shuleni.Pia ameongeza kuwa Walimu wa michezo kushiriki katika program ya FIFA na TFF kwa kupewa mafunzo mbalimbali.

Aidha ameeleza kuwa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania [TFF] watatoa mafunzo kwa Walimu wa michezo kusimamia program na kuzitembelea Shule za mradi ili kuweza kukagua maendeleo ya mradi pamoja na kuendelea kutoa vifaa vya michezo kwa shule kwa kushirikiana na FIFA.

Bi.Pendo Mangali amewataka Wanafunzi kutumia vizuri mipira hiyo pamoja na kuibua vipaji kwa Wanafunzi hao kupitia vifaa hivyo vya mipira ya miguu katika Shule za Msingi ili kuweza kupata wachezaji wakubwa katika ngazi ya Wilaya,Mkoa na baadae Taifa kwa ujumla.

Sambamba na hilo Wanafunzi wa Shule hizo wameishukuru sana Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuibua vipaji Shuleni kwa kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya michezo Shuleni.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga aridhia Miradi ya Mwenge.

    July 03, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati amefanya ziara ya kutembelea miradi ya Mwenge wa Uhuru Halmashauri ya Mji Babati

    July 01, 2025
  • Usafi umeendelea katika Machinjio yaliyopo katika Mtaa wa Maisaka B.

    July 01, 2025
  • Mhe.Emmanuela amekabidhiwa gari katika Viwanja vya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.

    June 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati