• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Twange ametembelea kiwanda cha Dutchkona Mkoani Manyara.

Imechapishwa: November 1st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. LazaroTwange ametembelea kiwanda cha Dutchkona kilichopo katika eneo la viwanda wa SIDO kinachotengeneza vinywaji vya pombe kali Best na Jogoo na katika ziara hiyo ameambatana na Viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Mji wa Babati ikiwemo Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji,Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya,Katibu Tawala wa Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji pamoja na wataalam Mkoani Manyara.

Mhe.Twange amempongeza  mwekezaji wa kiwanda hicho kwa kutoa fursa ya ajira kwa vijana takribani 100 ambao wanafanyakazi katika kampuni hiyo, ambayo kwa sasa ipo katika viwanda vidogo vidogo vya wajasiriamali vinavyojulikana kama {SIDO }amewataka vijana hao kuwa waaminifu, kuacha tabia ambazo sio nzuri na kujali muda wa kazi wakati wote.

Vilevile amesema kuwa wapo tayari kushughulikia changamoto zozote zinazowakabili katika uendeshaji wa kiwanda pamoja na wao kuzingatia taratibu na miongozo ya uwekezaji na maelekezo wanayopewa juu ya uendeshaji wa kiwanda katika eneo husika kwa ujumla.Sambamba na hilo amewapongeza  kupata eneo jipya ili kuweza kupanua kiwanda ni ishara nzuri ya biashara kukua.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bi.Pendo Mangali amewataka kuboresha upakiaji wa vinywaji vyao wanavyozalisha, amewapongeza wawekezaji wote pamoja na waliopo ndani ya Halmashauri ya Mji.Halmashauri ya Mji wa Babati ipo tayari kushirikiana bega kwa bega na wawekezaji  ili kuhakikisha sekta ya Uwekezaji na biashara imekuwa.

Pia Bw. Norbert John Meneja wa Kampuni ya Dutchkona amesema kuwa biashara ina ushindani mkubwa sana hivyo wamejitahidi kuwatumia maafisa masoko ili kukabiliana na ushindani na matarajio yao ni kutoa fursa ya ajira kwa vijana  wengi zaidi wanakapokamilisha ujenzi wa kiwanda chao na amewaomba Viongozi kutembelea eneo ambapo ujenzi unaendelea ili kupata maoni na ushauri kabla ujenzi huo haujafika hatua kubwa zaidi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati