• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

Imechapishwa: April 30th, 2025

Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga amewataka wafanyakazi wa Mkoa wa Manyara kuishi kwa upendo na kushirikiana katika kazi.

Hayo ameyasema wakati wa maadhimisho ya kuelekea siku ya Wafanyakazi duniani ambayo kwa ngazi ya Mkoa yamefanyika katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa yenye kauli mbiu isemayo " Uchaguzi Mkuu 2025 utuletee Viongozi wanaojali haki na maslahi ya Wafanyakazi, sote tushiriki".

Mhe. Sendiga amewataka waajiri wa sekta binafsi na Taasisi za Serikali kutoa mikataba kwa waajiriwa pamoja na kuwapa stahiki zao zikiwemo kuwaruhusu kujiunga na vyama vya wafanyakazi pamoja na malipo ya malimbikizo ya pesa za likizo, uhamisho na mishahara kabla ya mwezi wa saba.

Aidha amewataka Watumishi kuwa waadilifu katika kazi na kutambua kuwa wao ni wawakilishi wa Serikali kwenye jamii  na kusisitiza kuwa ili wapate haki ni lazima watimize wajibu.

 Mhe. Sendiga ameeleza kuwa Serikali imefanya maboresho katika sekta ya Afya, Elimu na Miundombinu kwa ujumla kwa kuongeza Vifaa.

"Katika awamu ya Sita Serikali imeboresha mazingira ya Watumishi kwa kupandisha madaraja, nyongeza za mishahara, kutoa ajira kwa vijana, pamoja na kupandisha vyeo Watumishi 280,000",ameeleza

Sambamba na hilo amewaasa Watumishi kujiepusha na Siasa chonganishi bali wafuate utaratibu sahihi wa kushiriki kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2025.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI 2025. May 13, 2025
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Kilele Cha wiki ya Mazingira. yenye kauli mbiu" Mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa kudhibiti matumizi ya Plastiki".

    June 05, 2025
  • Mama lishe na Baba lishe wa soko kuu la Halmashauri ya Mji Babati wahimizwa kufanya usafi .

    June 05, 2025
  • Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wapewa mafunzo ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi.

    June 03, 2025
  • Kumalizika kwa kambi ya kuunda timu ya Mkoa ,itakayoshiriki UMITAMSHUTA Taifa.

    June 02, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati