• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe amezindua Maonesho ya Biashara Mkoani Manyara

Imechapishwa: October 23rd, 2024

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amezindua rasmi Maonesho ya Biashara,Madini,Viwanda na Kilimo “ Tanzanite Manyara Trade Fair”, Mkoani Manyara,Maonesho hayo yameanza tarehe 20 hadi 30 Oktoba 2024, yenye kauli mbiu "Manyara kwa Ustawi wa Biashara na Uwekezaji.”

Mhe. Kigahe amewapongeza waandaaji na waratibu wa maonesho hayo TCCIA pamoja na Wadhamini wote amboa wamedhamini maonesho hayo akiwemo Mati superbrands na wengine.

Aidha Mhe.Kigahe amezitaka Taasisi za Umma kama vile TRA pamoja na Ofisi za biashara ngazi ya Mkoa na Halmashauri kuwasaidia wafanyabiashara kurasimisha biashara ili waweze kukua kibiashara na amesisitiza kuwa kila biashara inachangia mapato 40% kwa Serikali hivyo basi ili kuepuka kupoteza mapato hayo ni vyema watumie utaratibu stahiki katika kurasimisha biashara na sio kufunga na kunyang’anya leseni za biashara kwa wafanyabiashara.

Vilevile Mhe. Exaud ameeleza kuwa maendeleo ya kweli yanapatikana kwa kushirikiana Sekta binafsi na Serikali na ameongeza kuwa Serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha mazingira ya wafanyabiashara kwa kuhuisha Sera ya Taifa ya Biashara na kuandaa mikakati mbalimbali ili kukuza na kuvutia Uwekezaji.

Pia Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuella Kaganda Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara amemkaribisha Mhe. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika maonesho hayo na amesema kuwa maonesho hayo ni fursa ya kuutangaza Mkoa wa Manyara kitaliii kupitia hifadhi ya Tarangire, Ziwa Babati na Madini ya Tanzanite yanayopatikana nchini Tanzania pekee.

Aidha Afisa Biashara Halmashauri ya Mji Babati Bi. Upendo Edwin amewataka wafanyabiashara kutembelea banda la Halmashauri ya Mji wa Babati ili wapate elimu ya biashara,kupata leseni za biashara kwa njia ya mtandao na waweze kupata uelewa wa fursa za kibiashara zinazopatikana Mkoani Manyara.

Sambamba na hayo wafanyabiashara wamemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufungua mipaka ya kibiashara ya nchi jirani za Afrika mashariki, Kenya ,Uganda,Rwanda na kuwezesha wafanyabiashara wa Tanzania kufanya biashara nchi jirani.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati