• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mhe.Queen Sendiga ameweka jiwe la msingi katika shule ya mpya ya Awali na Msingi

Imechapishwa: September 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara  Mhe. Queen Cuthbert Sendiga akiwa katika ziara yake ameweka jiwe la msingi Shule ya Awali na Msingi Queen Cuthbert Sendiga  kata ya Maisaka Halmashauri ya Mji wa Babati. Ambapo shule hiyo ni mradi wa BOOST wa kuimarisha na kuboresha elimu ya Awali na Msingi.Mradi huu unatekelezwa nchini kwa muda miaka 5 hivyo kukamilika mwaka 2025/2026 na umelenga kunufaisha miundombinu ya elimu kwa madarasa ya Awali na Msingi.

Pia Mhe.Sendiga amepanda miti katika Shule mpya ya Queen Sendiga kwa lengo la kuimarisha mazingira na kufanya muonekano mzuri wa shule hiyo ya awali na Msingi.Pamoja na kukagua majengo ya ofisi,madarasa na vyoo vya shule hiyo. Amewapongeza wataalam na viongozi wote waliosimamia mradi huo.

 Aidha Mhe.Sendiga amesema kuwa Mkoa wa Manyara umepokea fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miundombinu ya uboreshaji wa huduma za maji,umeme,barabara pamoja na vituo vya afya katika halmashauri zote zilizopo Mkoa wa Manyara.

 Vilevile Mhe.Queen Sendiga amewataarifu wananchi kuwa Mkoa wa Manyara ni miongoni mwa Mikoa ya kimkakati katika uwekezaji katika sekta ya madini,kilimo na utalii ambapo amewaelezea kuwa Mkoa wa Manyara utafanya uzinduzi wa jarida maalum la uwekezaji terehe 10/10/2023.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga  amefanya ukaguzi wa ujenzi wa shule maalum ya Sekondari michepuo ya Sayansi kwa  wasichana ya Mkoa wa Manyara.Katika ukaguzi wake ameonyeshwa michoro ya majengo  katika ujenzi wa shule hiyo. Amefanya ukaguzi wa miundo mbinu ya maji ambayo itasaidia kutatua kero ya maji kwa wanakijiji wa Kiongozi.

 Pia ujenzi wa shule hiyo ni fursa kwa wakazi wa Kijiji cha Kiongozi katika ajira ambapo amesisitiza vijana katika kijiji hicho wapewe kipaumbele, wanawake wajasiriamali watumie vizuri fursa hiyo.Na ameomba eneo kwa Mwenyekiti wa kijiji kwaajili ya ujenzi wa kituo cha Polisi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati