• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni ya Biashara
    • Utoaji wa Leseni za Vileo
    • Utoaji wa Kibali cha Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mamilioni ya fedha za BOOST kuboresha Sekta ya Elimu Msingi na Awali Babati Mji.

Imechapishwa: May 9th, 2023

Na Nyeneu, P. R - Mjini Babati

Mradi wa BOOST ni mradi wa kuimarisha na kuboresha elimu ya awali na msingi hapa nchini ambao una thamani ya Tsh Trilioni 1.15. Mradi huu unatekelezwa nchini kwa muda miaka 5 hivyo kukamilika mwaka 2025/2026 na umelenga kunufaisha Halmashauri zote 184 nchini hususani katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa Madarasa ya awali na Msingi.

Tarehe 27 Aprili, 2023 Halmashauri ya Mji wa Babati imepokea fedha za Mradi huu wa BOOST jumla ya Shilingi 661,500,000 kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa, Matundu ya vyoo katika shule za msingi za Hangoni, Komoto, Kwaang’w na Kiongozi na ujenzi wa shule mpya ya Mfano ya mkondo mmoja katika shule ya msingi Sinai.

Katika fedha hizo, Shule ya Msingi Hangoni imepokea fedha jumla ya shilingi 69,100,000 kwaajili ya Ujenzi wa vyumba 02 vya madarasa ya mfano ya Elimu ya Awali, matundu 06 ya vyoo (yakiwemo 02 ya wanafunzi wenye mahitaji maalum). Shule za Msingi za Komoto, Kwaang’w na Kiongozi zimepokea jumla ya shilingi 81,300,000 kwa kila shule kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3 na matundu 3 ya vyoo.

Vilevile Shule ya Msingi Sinai imepokea fedha shilingi 348,500,000 kwaajili ya ujenzi wa shule ya Mfano ya Mkondo mmoja ambapo utahusisha vyumba vya madarasa 02 vya mfano vya Elimu ya Awali vyenye matundu 06 ya vyoo vya Elimu ya Awali (matundu 2 kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalumu na  matundu 4 kwaajili ya wanafunzi wasio na mahitaji maalumu), vyumba 07 vya madarasa, matundu 10 ya vyoo (02 walimu na 08 wanafunzi), jengo la utawala, na kichomea taka kwa Shule ya Msingi.

Aidha, mradi huu ni wa Lipa kwa Matokeo (P for R), hivyo, inaelekezwa kukamilisha kwa wakati na kwa kufuata taratibu zote zilizowekwa ili Serikali iendelee kupata fedha za ujenzi kupitia Mradi wa BOOST.

Matangazo

  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU November 09, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NGAZI YA TATU July 27, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Mamilioni ya fedha za BOOST kuboresha Sekta ya Elimu Msingi na Awali Babati Mji.

    May 09, 2023
  • RCCE yajengewa uwezo wa kufikisha elimu ya Afya kwa Umma

    April 28, 2023
  • Miaka 59 ya Muungano Umoja na Mshikamano ndio Nguzo ya Kukuza Uchumi Wetu

    April 26, 2023
  • Halmashauri zahimizwa kuendelea kupanda miti ili kufikia lengo la Mwaka la Mkoa

    April 25, 2023
  • Tazama zaidi

Video

Halmashauri ya Mji wa Babati kuelekea miaka 61 ya Uhuru
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati