• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa/Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Biashara
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Babati Mjini amefungua mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura Mkaoni Manyara.

Imechapishwa: September 1st, 2024

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Babati Mjini Bi.Edna Moshi amefungua rasmi mafunzo kwa waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki na Waandishi Wasaidizi katika Shule ya Sekondari Babati Day Halmashauri ya Mji wa Babati ambapo zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura litaanza tarehe 04/09/2024 – 10/09/2024 katika Vituo takribani 64 vilivyopo ndani ya Kata 8.

Mafunzo hayo yameudhuriwa na Bi.Mariam Kiravu Afisa wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,Msimamizi wa Mkoa wa Manyara,Wataalam wa TEHAMA kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,Aro Jimbo na Aro Kata,Mwenyekiti wa Mafunzo,Wakufunzi wa Mafunzo ,Maafisa Uchaguzi na Maafisa Ugavi.

Bi.Edna Moshi amesema kuwa takribani Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa vifaa vya Bayomertiki 158 wamepatiwa mafunzo ambayo yanalengwa kuwajengea umahiri zaidi na ndio wahusika wa uandikishaji wa wapiga kura vituoni.Na amewasisitiza kuvitunza vifaa ambavyo watakabidhiwa wakati wa zoezi hilo na kufanya kazi kwa umakini vituoni.

Vilivile amesema kuwa katika uboreshaji wa Daftari mawakala wa vyama vya siasa wataruhuiswa kuwepo katika vituo vya kuandikisha wapiga kura lakini mawakala au Viongozi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kuingilia mchakato wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kituoni.

Aidha ameongeza kuwa Tume imetoa kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa Uboreshaji wa Daftari kwa Asasi za kirai 157 na asasi 33 za kirai kwa ajili ya uangalizi wa zoezi hilo ni muhimu kutoa ushirikiano kwa asasi hizo.

Sambamba na hilo Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki na Waandishi wasaidizi wameapa mbele ya Afisa mwandikishaji Jimbo la Babati kuwa watafanya kazi kwa umakini,watakuwa watii na weledi wakati wote katika zoezi hilo la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.



Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR CONSTRUCTION SUPERVISION CONSUTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BABATI TOWN UNDER TACTIC PRJECT TIER 2 March 07, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili 2025. May 08, 2025
  • Tangazo kwa waliopimiwa na kurasimishiwa viwanja - Sawe na Nangara December 25, 2022
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza - 2023 December 14, 2022
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Mji Babati imefanya Ziara kukagua Miradi ya Maendeleo

    May 07, 2025
  • Watumishi Manyara wametakiwa kupendana na kuacha chuki.

    April 30, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe.Emmanuela Kaganda amewataka Wananchi kuuenzi Muungano.

    April 26, 2025
  • Chanjo nyongeza ya polio (IPV2) kuanza kutolewa kwa watoto wa miezi 9 mwezi wa tano 2025.

    April 24, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Babati 2024
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati