• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Barua pepe kwa wafanyikazi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Babati Town Council
Babati Town Council

Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Miji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumisha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari

Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji


Bw.Khamis J. Katimba

Mchumi wa Mji

Mkuu wa Idara ya Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji 

IDARA YA MIPANGO, TAKWIMU NA UFUATILIAJI

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji ni moja kati ya Idara za Halmaashauri ya Mji wa Babati.  Idara ina jumla ya watumishi 6 akiwemo Mkuu wa Idara, Wachumi 3, Mtakwimu mmoja pamoja na Katibu Muhtasi.

Majukumu makubwa ya Idara hii ni kama ifuatavyo:-

Kuratibu shughuli zote za maendeleo za Halmashauri.

Kutafsiri sheria, sera na miongozo ya kisekta.

Kuratibu zoezi la uandaaji mipango Mikakati ya maendeleo kwa kushirikiana na wadau wa nje na ndani ya Halmashauri.

Kuwezesha shughuli za kiuchumi na kijamii zinazofanyika Halmashauri.

Kutafuta, kuchambua na kutaafsiri takwimu za kiuchumi na kijamii.

Kuratibu shughuli za uwekezaji kwa kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya Halmashauri.

Kubuni mikakati mbalimbali ya kuongeza vyanzo vya mapato ya Halmashauri.

Kuandaa Bajeti ya Halmashauri na kuratibu utekelezaji wake.

Kufanya ufuatiliaji na tathimini wa shughuli za kiuchumi na kijamii.

Kuhimiza na kushirikisha jamii katika upangaji na utekelezaji wa miradi/program za maendeleo.

 

Katimba, Khamis J.

MCHUMI WA MJI

H/MJI BABATI

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 BABATI MJI December 18, 2020
  • ORODHA YA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA October 20, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 21, 2020
  • TANGAZO KWA WALE AMBAO HAWAJAENDELEZA MAENEO YA KUJENGA VIBANDA UWANJA WA KWARAA August 15, 2020
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • Yafahamu mambo yafuatayo kuhusu Afya ya Kinywa na Meno

    March 30, 2021
  • Babati Mji waadhimisha siku ya afya ya Kinywa na Meno Duniani Mashuleni

    March 17, 2021
  • TALGWU Kuhakikisha Wanawake wanaheshimika Makazini

    March 08, 2021
  • Baraza la Mtihani (NECTA) latangaza matokeo - CSEE, FTNA, QT na SFNA

    January 15, 2021
  • Tazama zaidi

Video

Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Mji/DC Twange atoa pongezi/Azungumzia Babati Mji kuwa Manispaa
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Idara ya Habari - Maelezo
  • Salary Slip Portal
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Mji wa Mbulu
  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto
  • Halmashauri ya Wilaya Mbulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Sanduku la Posta: P.O.Box 383 Babati

    Nukushi: +255-027-2510095

    Simu: +255-027-2510095

    Barua pepe: td@babatitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2021 Haki zote zimehifadhiwa na Halmashauri ya Mji Babati